Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
Salaam, naomba kuuliza kwa huyu mwanafunzi aliyemaliza form 6 na matokeo haya, History D Geography C Language S, hivi anaweza kuendelea kusomea chuo cha namna gani na kozi ipi itaendana na hayo masomo?
Natanguliza wingi wa shukrani, usiku mwema wajameni.
Natanguliza wingi wa shukrani, usiku mwema wajameni.