Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
hiyo #3 mkuu....kwangu ni tango pori...
ngoja niendelee kusoma kwa wachangiaji wanaofuata....[emoji45] [emoji45]
Soma Nyaraka za Mtume Paulo, mara kadhaa anamuita Yesu "Mzaliwa wa kwanza"..hiyo ni tafsiri yako au ya bibilia mkuu....[emoji45] [emoji45]???.. ....
Anda mimi sifungamani na dini yoyote, ila naamini katika Mungu na namshukuru walau nazijua dini zote hizi kwa sehemu