Msaada wa Imani

Msaada wa Imani

Tutumie akili za vipi,ili tumjue Mungu ??
Hii haitaji akili isipokuwa Kumkiri Yesu Kristo kwa kinywa chako kuwa ni Bwana na kuamini moyoni mwako kuwa Mungu alimfufua katika wafu utaokoka.Baada ya hapo utapokea nguvu ya Roho mtakatifu Yeye atakujulisha na kukutia katika kweli yote.
 
Hii haitaji akili isipokuwa Kumkiri Yesu Kristo kwa kinywa chako kuwa ni Bwana na kuamini moyoni mwako kuwa Mungu alimfufua katika wafu utaokoka.Baada ya hapo utapokea nguvu ya Roho mtakatifu Yeye atakujulisha na kukutia katika kweli yote.
Mungu gani alimfufua wakati yeye mwenyewe ni mungu? Au kuna mungu wangapi?
 
Kama waislam mnampenda YESU na kumfuata mafundisho yake, [HASHTAG]#swali[/HASHTAG],
Ni muislam yupi duniani amewahi kumpokea na kumkiri YESU kuwa mwokozi wa maisha yake? Sasa mwampendaje au mwamfataje pasipo kumpokea, au unamaanisha kusoma mafundisho yake kama gazeti,?
YESU unampendaje pasipo kupenda anayoyaagiza uyatende? Kama ungelikuwa unafuata mafundisho yake haikuwepo haja ya kupost, OK mmshindwa kujua Kama ni mwana wa mungu, kwanni hamsomi habar za manabii waliotabiri ujio wa YESU, miaka million kabla yake.
YESU alibatizwa, YESU alishiriki meza ya bwana
YESU alimpokea roho matakatifu, mna sababu gani za kutotimiza hayo yote kama mnampenda, sisi kwa jina la YESU tunatoa mapepo, tunaachilia uponyaji kwa wagonjwa, tunawafungua waliotekwa na nguvu za giza kwa jina na damu yake YESU, nyinyi mna nni juu ya jina lake, au walio watafsria kitabu kitakatifu ndio waliowakosesha neema hii?
Kwa Quran mnampiga mtu mapepo, sisi kwa Bible tunayatoa kwa jina la YESU. Jina leny mamlaka, uponyaji, nguvu, uzima na lililobeba utukufu wa MUNGU.

Ukielewa hii wala husijibu chochote
Ni vema umeuliza hayo yote.
Labda nianze kwa kukupa pole kwa kuhisi unampenda Yesu haliyakua haufati lolote katika mafundisho na matendo yake. Na kwa bahati mbaya unajiona unafata.

1. Tuanze na suala lako la kumpokea kua mwokozi wa maisha yetu.
Sidhani kama hauyafahamu maneno ya Yesu mwenyewe aliposema.
"BABA HATOBEBA MZIGO WA MWANA NA WALA MWANA HATOBEBA MZIGO WA BABA. KILA MMOJA ATABEBA MZIGO WAKE MWENYEWE. "
Yesu kasema hivyo na sie waislamu tunaamini hivyo. Hatudanganywi na kina Paulo wanaobadili na Kusema amini na uokoke.
Sasa nani anamfata na nani hamfati?

2. Kuhusu suala la kusema tunampenda na hatufati maagizo yake pia unakosea.
YESU alisema Muabudu Mungu Baba Pekee. Na ndivyo tunavyofanya Waislamu wote. YESU ALISALI Kwa kusujudu na akasema MSUJUDIE BABA MUNGU WAKO PEKEE. nadhani imeshafahamu kua waislamu ndio Tunasali kwa kusujudu na wakristo kwa kukaa juu ya mabenchi.

3. Suala la Yesu kua mwana wa Mungu nalijibu pia kwa maandiko ya biblia yasemayo:-
"Msihuzunike kwa maana naenda Kwa Baba yangu ambae NI BABA YENU. na kwa MUNGU WANGU AMBAE NI MUNGU WENU.

hivyo Yesu kishasema baba yake ni baba yetu. Hivyo hata sie sote mimi na wewe ni wana wa Mungu. Na neno "wana wa Mungu" limetumika sana.

4.Suala la wewe kusema unatoa mapepo kwa Jina la Yesu.
Nalijibu pia kwa Maneno ya YESU yanaosema
Watakuja manabii wengi wa uongo. Watafanya miujiza mingi na WATAPOTOSHA WENGI.
PIA Naomba nichomekee kaswali kangu hapa. KANISA NI ENEO TAKATIFU? Kama ni eneo Takatifu HAYO MAPEPO machafu yanayotolewa ndani ya makanisa Yameingiaje humo ndani? Maana pepo chafu haliwezi kuingia eneo takatifu. Au labda sio Patakatifu?

Baada ya hayo nadhani utakua umeelewa kwamba waislamu ndio Tunafata maamrisho na makatako ya Manabii wote ikiwemo Yesu.

Soma vizuri kuna maswali pia nimeyauliza hapo na nitahitaji majibu.
 
Taarab asili yake ni pwani kwenye waislam.sishangai.

[emoji57] tulizana jikoni upiiike[emoji12] [emoji12]

Wewe muislam uwe na jambo jema kwa mkristo kutoka kwenye quran????HAINA JAMBO JEMA zaidi ya BIBLE hiyo gazeti. labda kuunguliwa na nyumba.
Sijaona jibu hapo[emoji15]
 
Kasema Yesu aliumbwa kabla ya Dunia na Mbingu.
Ume quote post yangu lakini hujajibu nilichouliza..

Nimeuliza Yesu yupi na sijauliza kama Yesu aliumbwa au hakuumbwa na ni wakati gani hilo lilitokea...

Nijibu,ni Yesu yupi mnasema aliumbwa?
 
Ni vema umeuliza hayo yote.
Labda nianze kwa kukupa pole kwa kuhisi unampenda Yesu haliyakua haufati lolote katika mafundisho na matendo yake. Na kwa bahati mbaya unajiona unafata.

1. Tuanze na suala lako la kumpokea kua mwokozi wa maisha yetu.
Sidhani kama hauyafahamu maneno ya Yesu mwenyewe aliposema.
"BABA HATOBEBA MZIGO WA MWANA NA WALA MWANA HATOBEBA MZIGO WA BABA. KILA MMOJA ATABEBA MZIGO WAKE MWENYEWE. "
Yesu kasema hivyo na sie waislamu tunaamini hivyo. Hatudanganywi na kina Paulo wanaobadili na Kusema amini na uokoke.
Sasa nani anamfata na nani hamfati?

2. Kuhusu suala la kusema tunampenda na hatufati maagizo yake pia unakosea.
YESU alisema Muabudu Mungu Baba Pekee. Na ndivyo tunavyofanya Waislamu wote. YESU ALISALI Kwa kusujudu na akasema MSUJUDIE BABA MUNGU WAKO PEKEE. nadhani imeshafahamu kua waislamu ndio Tunasali kwa kusujudu na wakristo kwa kukaa juu ya mabenchi.

3. Suala la Yesu kua mwana wa Mungu nalijibu pia kwa maandiko ya biblia yasemayo:-
"Msihuzunike kwa maana naenda Kwa Baba yangu ambae NI BABA YENU. na kwa MUNGU WANGU AMBAE NI MUNGU WENU.

hivyo Yesu kishasema baba yake ni baba yetu. Hivyo hata sie sote mimi na wewe ni wana wa Mungu. Na neno "wana wa Mungu" limetumika sana.

4.Suala la wewe kusema unatoa mapepo kwa Jina la Yesu.
Nalijibu pia kwa Maneno ya YESU yanaosema
Watakuja manabii wengi wa uongo. Watafanya miujiza mingi na WATAPOTOSHA WENGI.
PIA Naomba nichomekee kaswali kangu hapa. KANISA NI ENEO TAKATIFU? Kama ni eneo Takatifu HAYO MAPEPO machafu yanayotolewa ndani ya makanisa Yameingiaje humo ndani? Maana pepo chafu haliwezi kuingia eneo takatifu. Au labda sio Patakatifu?

Baada ya hayo nadhani utakua umeelewa kwamba waislamu ndio Tunafata maamrisho na makatako ya Manabii wote ikiwemo Yesu.

Soma vizuri kuna maswali pia nimeyauliza hapo na nitahitaji majibu.
MUDA UTATUJULISHA.
 
Pole ndugu. Nikufunze Jambo ambalo ulikua hulifahamu. Waislamu tunampenda sana Yesu. Na Mambo mengi sana alioyafundisha Yesu sio ndio tunayafuata na kuyatekeleza .ukitaka ushahidi ntakupa.
Mnamfuata Yesu yupi?
Suala la uarabu halihusiani kabisa na dini ya kiislamu. Kuna warabu wengi tu ambao sio waislamu tena. Inaonesha unachuki binafsi na waarabu hivyo nakupa pole.
Kuna uhusiano kati ya Uarabu na Uislam...

Mavazi rasmi ya Kiislam ni ya Kiarabu..
Lugha rasmi ya dini hiyo ni Kiarabu..

Hiyo ni mifano michache tu....
Tatu Anti-christ ni mpinga Yesu and so far mie naona wakristo wengi ndio mnaompinga Yesu maanq mnaenda kinyume kabisa na yote alioyafunza.
Acha kudanganya bwana mdogo,umeandika AntiChrist halafu unasema huyo ni mpinga Yesu kwa namna ipi,hapajaandikwa antiJesus hapo bwana mdogo,au huelewi kuna tofauti hapo?

Kuna sababu maalum huyo kuitwa Mpinga Kristo na siyo mpinga Yesu,hili ni somo maridhawa na unapaswa ujifunze sana kijana....
Sasa kama umeshindwa kujibu maswali niliyoyauliza ni bora ungekaa kimya tu kuliko kuongea vitu visivyo na maana yoyote.
Ni maswali gani ameshindwa kujibu huyo ndugu?
 
Unabisha kwasababu humtambui Roho mtakatifu na kazi zake.Biblia inasema wote wanaoongozwa na Roho ndio wana wa Mungu.
Hebu nikuulize. Hizo nafsi tatu za Mungu zote zinanguvu sawa? Au kuna nafsi inanguvu Zaidi?
 
Ume quote post yangu lakini hujajibu nilichouliza..

Nimeuliza Yesu yupi na sijauliza kama Yesu aliumbwa au hakuumbwa na ni wakati gani hilo lilitokea...

Nijibu,ni Yesu yupi mnasema aliumbwa?
Kuna Mtu Alisema Yesu kaumbwa kabla ya Mwanadamu wa Kwanza. Ndio mie nikamjibu kwamba kumbe kaumbwa!! Nawe ukauliza Yesu gani kaumbwa?

anyways isiwe issue. We unahisi Yesu hakuumbwa? Je unafahamu kua Yesu ana Mungu wake? Je unafahamu Kuwa Yesu hajui kila kitu?
 
Mnamfuata Yesu yupi?

Kuna uhusiano kati ya Uarabu na Uislam...

Mavazi rasmi ya Kiislam ni ya Kiarabu..
Lugha rasmi ya dini hiyo ni Kiarabu..

Hiyo ni mifano michache tu....

Acha kudanganya bwana mdogo,umeandika AntiChrist halafu unasema huyo ni mpinga Yesu kwa namna ipi,hapajaandikwa antiJesus hapo bwana mdogo,au huelewi kuna tofauti hapo?

Kuna sababu maalum huyo kuitwa Mpinga Kristo na siyo mpinga Yesu,hili ni somo maridhawa na unapaswa ujifunze sana kijana....

Ni maswali gani ameshindwa kujibu huyo ndugu?
Sioni sababu ya kuanza kirudia yote niliyoyaandika. Hebu pitia post vizuri ndio utaelewa mjadala wetu.
Pili kuvaa kanzu sio desturi ya waarabu. Hata Yesu wako alivaa kanzu na kilemba [emoji23] [emoji23]
 
Ni vema umeuliza hayo yote.
Labda nianze kwa kukupa pole kwa kuhisi unampenda Yesu haliyakua haufati lolote katika mafundisho na matendo yake. Na kwa bahati mbaya unajiona unafata.

1. Tuanze na suala lako la kumpokea kua mwokozi wa maisha yetu.
Sidhani kama hauyafahamu maneno ya Yesu mwenyewe aliposema.
"BABA HATOBEBA MZIGO WA MWANA NA WALA MWANA HATOBEBA MZIGO WA BABA. KILA MMOJA ATABEBA MZIGO WAKE MWENYEWE. "
Yesu kasema hivyo na sie waislamu tunaamini hivyo. Hatudanganywi na kina Paulo wanaobadili na Kusema amini na uokoke.
Sasa nani anamfata na nani hamfati?

2. Kuhusu suala la kusema tunampenda na hatufati maagizo yake pia unakosea.
YESU alisema Muabudu Mungu Baba Pekee. Na ndivyo tunavyofanya Waislamu wote. YESU ALISALI Kwa kusujudu na akasema MSUJUDIE BABA MUNGU WAKO PEKEE. nadhani imeshafahamu kua waislamu ndio Tunasali kwa kusujudu na wakristo kwa kukaa juu ya mabenchi.

3. Suala la Yesu kua mwana wa Mungu nalijibu pia kwa maandiko ya biblia yasemayo:-
"Msihuzunike kwa maana naenda Kwa Baba yangu ambae NI BABA YENU. na kwa MUNGU WANGU AMBAE NI MUNGU WENU.

hivyo Yesu kishasema baba yake ni baba yetu. Hivyo hata sie sote mimi na wewe ni wana wa Mungu. Na neno "wana wa Mungu" limetumika sana.

4.Suala la wewe kusema unatoa mapepo kwa Jina la Yesu.
Nalijibu pia kwa Maneno ya YESU yanaosema
Watakuja manabii wengi wa uongo. Watafanya miujiza mingi na WATAPOTOSHA WENGI.
PIA Naomba nichomekee kaswali kangu hapa. KANISA NI ENEO TAKATIFU? Kama ni eneo Takatifu HAYO MAPEPO machafu yanayotolewa ndani ya makanisa Yameingiaje humo ndani? Maana pepo chafu haliwezi kuingia eneo takatifu. Au labda sio Patakatifu?

Baada ya hayo nadhani utakua umeelewa kwamba waislamu ndio Tunafata maamrisho na makatako ya Manabii wote ikiwemo Yesu.

Soma vizuri kuna maswali pia nimeyauliza hapo na nitahitaji majibu.
huwez kuisoma biblia part b ukielewa nachokimanisha,
 
Habari wana JF. naomba kufahamishwa kuhusu Yesu Mtoto wa Mariam. Je Imani ya Wasabato, Waroma na Madhehebu mengine wanamchukulia kama Nani? Je ni Mungu? Mwana wa Mungu ama Mtume wa Mungu? Asanteni.
Ukishafahamu kuwa Allah sio Mungu anayezungumzwa kwenye biblia wala hutapata taabu ya kuumiza kichwa bali utajikita kufanya yale yanayoagizwa kwenye imani yako. Sidhani kama umeshamaliza yale yote uliyoagizwa na imani yako na kwamba upo safi kwa ajili ya maisha yajayo kwa mujibu wa imani yako.
 
Back
Top Bottom