Msaada wa jinsi ya kusamehe na kuachilia

Unaweza kabisaaa kulimaliza hiki ndani kwako,uamuzi wote unabaki juu yako.
Mkeo alikushauru vizuri sana,ila hukutaka kuuchukua. Naona tatizo la kupenda ukamilifu kwenye kila kitu linakusumbua, jitahidi kukubaliana na kila kitu katika maisha. Hiyo jamaa yako m-face na mchane ukweli.
Umeweka kinyongo ambacho kitakiusumbua maishani mwako for life.
Jifunze kusamehe,kuachilia na kupuuza ukishindwa lipa kisasi,ila hii iwe option ya mwisho.
 
Ukilipiza kisasi, wote mtakuwa mmekoseana. Ngoma droo
 
Nina roho moja ya huruma sana, ila mtu ambae huwa sina kifua nikisikia nasemwa au unanisema vibaya na nikaumia ni lazima nikuite nikupashe nilichokisikia ili nibalance pande zote nikitoka hapo nina aman zoote maaana ninapokuuliza n lazima nikupe maneno makali yatakayokuumiza tena kwa busara na kukuonyesha kuwa najua kila kitu unachonifanyia, hata tutakapo achana utabaki unanifikiria halafu tukionana tena mm nina aman zoote ila lazima nikuachie jeraha na ukose amani kila unaponiona




Amani yangu ni wewe ujue kuwa malengo yako mabaya juu yangu nimeyapata na ninajua kila kitu hapo hata usipoomba msamaha mm sijaliiiii!!!!! Tena hata nikikuona nakuchekea haswa [emoji28][emoji28][emoji28] ubaya wako utabaki unakutafuna mwenyew
 
NEVER WAKE A SLEEPING DOG. IT WILL WAKE UP AND BITE YOU. Hii point nimeikubali. Waswahili nao wana msemo: USIMWAMSHE MTU ALIYELALA, AKIAMKA UTALALA WEWE
 
Ndugu yangu nilisha samehe! ila nakumbuka na kuhisi tena maumivu.
Acha huo ujinga wa kushikiria watu moyoni!!! wateme kabisa haya mambo ya chuki yalianzia mbinguni kitambo wewe!!!! hata iweje haiepukiki hii!!! huyo mkeo anae muamini, nalala nae aweza pia kukugeuka akala na Boss wako utalia lia mpaka Yesu arudi!!!

Kamata hiro richeo umepewa Bure!! na Boss wewe. unariachia kweli kiulaini kweli lina nafasi zuri hivo? hata Yesu akija leo watu watajaribu kukupiga majungu usiende Mbinguni!! unavoonekana dhaifu utashindwa kujitetea!!

Watu tumeuguza wake zetu wagonjwa kabisa hawatembei wamelala tu!! lkn bado walitukimbia!! wengi wazazi wenzetu tumewapa kazi nzuri still wakatufitini tukafukuzwa lkn bado tunawapa mpunga bila kinyongo!! sembuse hao!

unasikiliza wanawake kazini?? komaa nahuyo rafiki yako kazi usiache kama una Mungu wa kweli sali sana tena sana!! km huna Mizizi ninayo Tele! piga chini wote hao ikibidi wachinje live!!! usiwe padri!!! kinyume na hapo hata mbinguni huendi!!!
 
Na kwa kusema hivyo anayefaidika zaidi na msamaha ni yule anayekosewa. Si yule anayekosea! Faida ya kusamehe toka moyoni ni kuondokana na maumivu yatokanayo na aliyekukosea au kukuumiza. Ukiijua siri hiyo hutabaki na wabaya wako na maumivu yao moyoni mwako.

Hata Mungu hutusamehe kwa faida yake Mwenyewe - kwa ajili ya utukufu wa jina lake. Hapendi aendelee kuumia kwa makosa na viburi vyetu kwake.

Achilia au yatupilie mbali makosa ya watu kwako ili upate amani moyoni. Kaa nao mbali moyoni na hata kimwili ikiwezekana!
Naam iko hivi ukisamehe unakuwa umeutua mzigo wa sonona ... Samehe kwaajili ya kuepuka kujiumiza
 
Safi sana Mkuu upo kama Mimi, hakuna kusamehe kwa mtu aliedhamiria kabisa kukuharibia future yako. Unachukulia poa huku ukisubiri chance ya kulipiza kisasi itokee hata iwe imepita miaka 5.
 
Mimi nitakua kinyume na wachangiaje wengine , sawa kusamehe ni jambo jema na la kiujasiri sana, ila nikuambie mkuu mimi siwezi kuishi na jambo linalonitesa moyoni, huwa nalimwaga kama mbwai na iwe mbwai, silei chuki nafunguka vibaya mno ili kuufanya moyo wangu uwe safi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa ya moyoni utawaogopa watu mpaka lini, mfuga maradhi kifo humuumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kuna mtu aliwahi kuniumiza sana nikaamua kumpotezea ninaendelea na mishe zangu safi kabisa. Lakini kusema nae nimeshindwa kabisa maana tuko ofisi moja na sina kinyongo nae ila ndio hivyo kinywa kinakuwa kizito kabisa kusema nae.

Unatakiwa kinywa kiwe chepesi usifuge panya wanaokula nguo zako hutabaki na kitu, teketeza wenye chuki ili moyo uwe safi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatakiwa kinywa kiwe chepesi usifuge panya wanaokula nguo zako hutabaki na kitu, teketeza wenye chuki ili moyo uwe safi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nitateketezaje mpendwa nguvu ya kulipiza kisasi sina nimeamua kusamehe maisha yasonge sema kuzungumza nae ndio siwezi kwakweli kinywa kimekuwa kizito ajabu tunapishana kama hatuonani vile😀
 
Wewe ni kama mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…