Msaada wa jinsi ya kusamehe na kuachilia

Ubarikiwe Kiongozi! Nafanyia kazi haya uliyoyasema immediately.
 
Nimeliona Kosa langu Kiongozi Asante sana.
 
Kuna kitu tunapaswa kujua kuwa wema wa kupitiliza kwa wanadamu n kujichosha tuu hata utembee uchi kwa ajili ya mtu atakushkuru kwa muda huo baada ya hapo hana time naww tena ni sawa n kumpa ndizi nyani/ sokwe akimenya ndizi anakutupia ganda baada ya kumaliza ndizi wanadamu bana tumekuwa viumbe vya ajabu unaposaidia mtu mtoe kwnye akili yako fanya umetoa sadaka maana ukitaka akutendee mema na yy ni kujichoshaa waa!!! Na usifanye wema ambao utakuumiza ww eti kisa mwanadamu utajutaaa
 
pole sana ila kwa nini tabia ya Majungu na fitina yaanaachiwa kushamiri ktk sehemu za kazi na matokeo yake kuharibia watu weledi kazi?
hivi kiongozi makini huwezi kuona na kuzuia?
wakati mwengine pia biongizi wanachangia sana kuwepo kwa majungu sehemu za kazi.

hivi unaanzaje kumsanehe mtu aliye kufitini na kufukuzwa kazi, mtu wa aina hiyo hana tofauti na muuaji maana nia yake watoto wako wafe kwa njaa.
 
Kuna kusamehe, kusahau na kupuuzia. Ukiweza kufanya kati ya mambo hayo ht mawili tu basi umewin sana maisha haya na utaondokana na maradhi ya mwili mengi
 
Kwanini unampa dili la pesa mtu aliyekuwa anakutendea mabaya kazini? Kinyongo na kulipa kisasi ndio sifa ya mwanaume kamili. Mtu akikuharibia katika kutafuta pesa mshughulikie akija kujaa katika 18 zako.
 
Naomba msaada ndugu zangu! Sihitaji kulipa kisasi,nahitaji maisha yangu yaendelee! nawezaje kuachilia nahisi kama bado ipo hali ya kuumia kila wakati ninapokumbuka yaliyonisibu.
Kwa sasa achana naye na endelea na mambo yako, ila siku ukija kupata pesa na wadhifa, mshughulikie bila huruma huyo shetani.
 
Kitu chochote kibaya ulichofanyiwa na mtu ukikumbuka ni ishara moja wapo yakujua kuwa hujasamehe
Acha kumdanganya mwezio mkuu. Watu wanakumbuka matukio wakiwa wanasoma darasa la sita sembuse matukio ya kazini ya juzijuzi tu hapa.

Dawa ya kusamehe ni kuombana msamaha baaas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…