Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
🤝Sawasawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤝Sawasawa
Mali yetu sote 🏃🏃🏃🏃🏃Dah khs Ms R Ngoja niwe mpole tuu 😭
NdioIla kweli
Privacy 😎😹😹😹 Hivi pm mnapapendea nini??
Naomba kazi mkuu 😔😹😹😹 Huyu mbaga kibuyu sana
Utamu udumuNdio
Tunarithi jina.Kweli kabisa mkuu, mpaka unamuonea wivu sisi wengine ht wazazi wakifa huna cha kurithi 😔 ok sio mbaya ngoja tupambane wnyw tuu
Dah na jina lenyewe linakuaga na mikosi hv😂Tunarithi jina.
Mil 50 ajenge nyumba.?Jenga nyumba za kupanga utqkuja nishukuru hizi kubwa kubwa 3 kila mtu we kwenye geiti yake . Na mwisho kama itabaki malizia na ndogo mbili .
Nunua trekta tu litakulipaHabari yako mwana jf
Baba yangu alibahatika kuwa na mali nyingi sana na kwetu tumezaliwa wachache watu wa nne tu,
Sasa mzee ili kuondoka utata ameamua kugawa mali ingali yupo hai Mimi nimepata mgao wa nyumba ya kuishi pamoja na kiasi kama million 50
Kwa upane wa elimu nina degree ya agribusiness kutokea SUA
Pia binafsi sina background yoyote ya kufanya biashara maana mda mwingi nimetumia shuleni
Niliwaza hii pesa niiweke UTT baada ya kuisoma na kuifatilia Sana lakini changamoto inakuja nahofia usalama wa pesa yangu huko UTT hasa hasa kwenye nchi yetu hii ambayo kiongozi anaweza amua chochote mda wowote.
Naombeni ushauri je naweza anzia wapi katika uwekezaji.
Na je UTT ni salama mathalani kwa miaka 30 ijayo. Umri wangu ni miaka 25.
Pia ningeomba Kwa wenye kujua zaidi ni mkoa gani au eneo gani Tanzania ni zuri Kwa mtu mwenye mtaji kuanza biashara na biashara ipi inaweza kuwa na rejesho zuri.
Asanteni
Inasikitisha sana mkuuMbaga Jr
Lamomy
Mtoto halali na hela
Mna tabia mbovu, mnachat mambo ya kipumbavu kwenye thread ya mtu inayohusu biashara, mna akili? Makubwa jinga.
Nimeitwa humu, kubwa jinga ni mtu wa sampuli gani haya mshauri mleta madaMbaga Jr
Lamomy
Mtoto halali na hela
Mna tabia mbovu, mnachat mambo ya kipumbavu kwenye thread ya mtu inayohusu biashara, mna akili? Makubwa jinga.
Wekeza katika ardhi, hutojutia kamwe.Naombeni ushauri je naweza anzia wapi katika uwekezaji.
Na je UTT ni salama mathalani kwa miaka 30 ijayo. Umri wangu ni miaka 25.
Ni kweli kabisa wakati mwamba Mimi napambana, ili nipate mtaji wa 4m Kuna mwingine ana 50m na anawaza Cha kufanya.Ndio maana tunaomba mchango wa kimawazo mkuu
Nakushauri Toka Kwa shangazi akili italala mnoDah wasinitegemee aisee kama hapa tuu bado nakaa kwa shangazi na nna 28 sasa, sijui huko mbeleni itakuaje 😔
Kwa 50m utt anapata Tena ni 300+ Kwa mweziNyumba ipo eneo lipi? Strategic Area?
Sasa angalia condition ya nyumba ikiwezekana ifanyie REHABILITATION then ipangishe. Kama mwanzo ilikuw unapata 300k kwa mwezi ukifanya REHABILITATION ya 20m una uwezo wa kupata 600k.
Kitu ambacho kwa UTT huwez pata hiyo hela (300k) per mwezk
Yah mkuu napambania hiloNakushauri Toka Kwa shangazi akili italala mno