Msaada wa Kisheria kuhusu mahusiano na Mwanafunzi

Kama kijana ni over 18 na huyo ni minor ndio hivyo mkuu. Sheria ni msumeno inakata pande zote. Hebu uliza huyo mwanafunzi wa darasa la ngapi usijeambiwa wa darasa la 6 maana vijana siku hizi hawajali
 
Binti ana miaka 19, aliyefungua kesi ni mtendaji akidai anataka kukomesha hiyo tabia kwenye kata yake. Kinachomuuma hakijulikani na kwanini analazimisha wazazi ambao hata sio walioshitaki?.
 
Kama kijana ni over 18 na huyo ni minor ndio hivyo mkuu. Sheria ni msumeno inakata pande zote. Hebu uliza huyo mwanafunzi wa darasa la ngapi usijeambiwa wa darasa la 6 maana vijana siku hizi hawajali
Atuambie binti ana umri gani. Kama ni sekondari waachwe haina haja kukomaa kama hakuna aliye lazimishwa
 
Binti ana miaka 19, aliyefungua kesi ni mtendaji akidai anataka kukomesha hiyo tabia kwenye kata yake. Kinachomuuma hakijulikani na kwanini analazimisha wazazi ambao hata sio walioshitaki?.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 maajabu haya.
Naamini wakienda mahakamani hakimu mwenyewe atacheka.
Huyo mtendaji ana mtaka huyo binti si bure
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] maajabu haya.
Naamini wakienda mahakamani hakimu mwenyewe atacheka.
Huyo mtendaji ana mtaka huyo binti si bure
Mimi nimeshindwa kujua anachokitaka nilipewa namba nikampigia anasema eti anataka wazazi waunge mkono juhudi zake za kuzui mapenzi kwa wanafunzi [emoji23][emoji23]
 
Kwani we unataka kijana afungwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…