Msaada wa Kisheria kuhusu mahusiano na Mwanafunzi

Msaada wa Kisheria kuhusu mahusiano na Mwanafunzi

Sitaongelea nani aletwe shahidi sababu hiyo ni kazi ya Mwendesha mashtaka wa serikali, na jibu la wazi juu ya hilo mtendaji hana huo uwezo wala mamlaka ya kusema nani awe shahidi hivyo kama kweli anafanya hivyo anafanya kazi ya watu sio yake.

Turudi kwenye hicho mnachoita ushahidi wa picha na video.

Hivyo havitoshi kumkuta na hatia huyo kijana. (Sitasema zaidi sababu mnataka kumfunga tu sio kutenda haki).
 
Kilichonifanya nije kuulizia sheria ni baada ya mtendaji kumtumia sms za kumtishia dada yangu kuwa atamfunga nikasema nijue kama anaweza kufungwa kweli.
Shahidi anayeharibu ushahidi kwa makusudi ni kweli anaweza kukutwa na hatia na huyo shahidi ni pamoja na huyo mtendaji.

Kwani kesi ipo polisi au Mahakamani maana ni kama kuna stori mbili tofauti hapa.
 
Back
Top Bottom