Bukoba Finest
JF-Expert Member
- Jul 13, 2023
- 250
- 315
- Thread starter
- #81
Ndiyo na huu ndo mtazamo wa watu wengi au pengine anamtaka binti yetuMtendaji anataka kumkomoa kijana wa watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo na huu ndo mtazamo wa watu wengi au pengine anamtaka binti yetuMtendaji anataka kumkomoa kijana wa watu
So unataka mtaji kupitia kijana wa watu kwa hofu ya kesi ya ubakaji?Mimi ni kaka yake mama wa binti ( Mjomba wa binti).
Unaweza ukasubiria pombe zikakuishia alafu ukarudi kuchangia mada.So unataka mtaji kupitia kijana wa watu kwa hofu ya kesi ya ubakaji?
Siku hizi ni biashara kwa sababu ya ugumu wa maisha.
Kwani kukaa na binti pasipohusishwa tendo la ngono ni kosa?
Kumbe ni mbukoba mnapendana sana makesi ya Kise***# tafuta pesa halaliUna mtazamo kama wa wazazi
Bangi inavutwa wewe unachemshaKumbe ni mbukoba mnapendana sana makesi ya Kise***# tafuta pesa halali
Naam kaka, nitajaribu kutafuta mbinu mbadala ila Mtendaji mwenyewe nimempigia na nimemzuia. Kaniambia kesi imesogezwa mpaka tarehe moja mwezi ujao. Yeye kama ana ugomvi na huyo kijana asitumie mgongo wa hili jambo.Dah uyo mtendaji atakua ana shida flani. Mkuu, kumsaidia dada (mama binti) nashauri ungewasiliana na mtu aliepo BKB ambae ni Mwanasheria aonane na sista (dada binti) amsaidie maana uyo mtendaji atakua anampelekesha sana.
Hata Kama ni chekechea ushahidi walikutwa wanafanya nini.Kama kijana ni over 18 na huyo ni minor ndio hivyo mkuu. Sheria ni msumeno inakata pande zote. Hebu uliza huyo mwanafunzi wa darasa la ngapi usijeambiwa wa darasa la 6 maana vijana siku hizi hawajali
Hayo yote hayajabainishwa sisi hatuna shida na kijana ila Mtendaji ndo ana shida
Alikuwa anamtaka huyo Binti ila kijana kamzidi ujanjaWewe ndio mtendaji wa kata? Mbona inaonekana wazazi hawana nia ya kuendelea na kesi wewe unaonekana kuivalia njuga?. Tuambie wewe una interest gani na hiyo kesi? Wewe ni nani kwenye hii kesi?
Naam mkuu, vitisho ni kwamba atawafunga si unajua watu wa kijijini uwa wanawaogopa mapolisi kwahyo amewapelekea Summons iliyoandikwa kwa kiingereza akidai ni lazima wakatoe ushaidi. Ila mimi nimewazuia kwa sababu tu hawakuwafumania.Aliletwa kijana 1 mahakamani Mwanza huko mama wa kijana ndo mlalamikaji kajieleza vizuri kijana mkorofi na dokozi kapitia king’amuzi kauza na katika ukibaka wake kumbe huwa anakula na mwenyeki wa mtaa.
Umefika muda wa mlalamikiwa kuombwa awalete mashahidi kasema anae shahidi 1 ambaye ni mwenyeki. Ikafika siku kweli mwenyeki kaja kutoa ushahidi mshenzi ooh mi nzengo yangu kijana ni mstaarabu hana shida, hakimu kamuuliza shahidi we unamfaham vizuri kuliko mzazi wake shahidi kasema ndiyo.
Hakim kainama kuandika kunuka amwambia askari huyu shahidi aende Butimba. Eeh shahidi kaomba kusema ukweli hakim kasema hamna muda wake umeisha. Kweli kaa siku 7 Butimba.
Kaletwa mahakamani kuulizwa vp kasema kule hapafai mheshimiwa ok leo uende nyumbani, kaenda kujinyonga huko kwake Igoma.
Ko bana swala ushahidi wa uongo mara nyingi hasa vijijini hata mjini pia yale majengo ya haki na kile kiapo ongeza na maneno ya kukaririshwa huwa vipotea lile eneo la mule ndani.
HAO WAZAZI WASIENDE HUKO VITISHO NI NINI?
Sawa mkuu nimekupataMwambie Mama asiende, ashikilie msimamo hakuwepo, na ndo ukweli, hizi laana sio nzuri.
Na ndiyo maana amepata makasiriko imagine amewapiga picha wamekaa kitandani eti ndo ushaidi na nguo wamevaaAlikuwa anamtaka huyo Binti ila kijana kamzidi ujanja
Naam mkuu, vitisho ni kwamba atawafunga si unajua watu wa kijijini uwa wanawaogopa mapolisi kwahyo amewapelekea Summons iliyoandikwa kwa kiingereza akidai ni lazima wakatoe ushaidi. Ila mimi nimewazuia kwa sababu tu hawakuwafumania.
Nimempigia leo mtendaji kasema wamehojiwa, nitampigia mama yake binti ili niweze kuongea naye nijue kilichoendelea nitawasilisha.Awafunge kwa kosa lipi?
Wazuie waambie wawe na amani mtendaji aache mikwara na nna mashaka hata huyo binti yawezekana kuna maneno kalishwa na mtendaji
Ukirejea vizuri nimesema mvulana sio Mwanafunzi mkuuMbona mnataka kufanya maisha yawe magumu kwa wanafunzi wa kiume?
Kwanini msiwashutumu wote kwa kuanza mapenzi wakiwa bado wadogo...?
Nimempigia leo mtendaji kasema wamehojiwa, nitampigia mama yake binti ili niweze kuongea naye nijue kilichoendelea nitawasilisha.