raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Hao viongozi huko kijjn hawana kazi ingekuwa rahisi kihivyo madogo huku mjini wote wangekuwa jela
Wanataka kutoa watu pesa tu hapo hamna kitu
Wanataka kutoa watu pesa tu hapo hamna kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimempigia anasema hajashawishiwa wala kuambiwa nini cha kusema japokuwa huyo kijana amekiri kuwa ni kweli alikamatwa.[emoji106]
Walikuwa wanagonoka au walikutwa tu uyo mwanamke anasemaje uyo jamaa akatae hana mahusiano nae ya kimapenzi
Inavosemekana kuna "Secret Agenda behind the scenes" ndiyo maana anakuwa mkali hivo na anatishia kuwafunga kwasababu ana uhakika hawajui sheria.Hao viongozi huko kijjn hawana kazi ingekuwa rahisi kihivyo madogo huku mjini wote wangekuwa jela
Wanataka kutoa watu pesa tu hapo hamna kitu
Yap ni watu kutojua sheria na wogaInavosemekana kuna "Secret Agenda behind the scenes" ndiyo maana anakuwa mkali hivo na anatishia kuwafunga kwasababu ana uhakika hawajui sheria.
Au katengenezewa picha dogo uyo binti akimgeuka mwana juwa ni mipango binti akatae sina mahusiano nae na jamaa pia ivo ivoShida mtendaji kawa karibu mno na binti na hiyo jinsia unaijua kubadili ubao ni dakika nna mashaka na binti kwa sasa anaona mtendaji ni msaada
Kwa maelezo ya mtendaji hawakuwa wanagonoka ila anadai amezipata taarifa zao siku nyingi means anawafatilia kwahyo aliweka mtego kwahyo walivoingia room tu akapigiwa simWalikuwa wanagonoka au walikutwa tu uyo mwanamke anasemaje uyo jamaa akatae hana mahusiano nae ya kimapenzi
Binti yeye anampenda huyo kijana na hataki afungwe wazazi hawataki afungwe. Wanasema hizo hela za kuzunguka mahakamani zitasaidia matumizi hapo nyumbani kisanga ni mtendaji tu.Shida mtendaji kawa karibu mno na binti na hiyo jinsia unaijua kubadili ubao ni dakika nna mashaka na binti kwa sasa anaona mtendaji ni msaada
Shida hata sio kuolewa
na alitaka kutumia hiyo advantageYap ni watu kutojua sheria na woga
Usijali mkuu nakutumia inbox
Naam sisi kama upande wa wazazi hatuhafiki swala la kufungwa.
Wasiende mpaka watumiwe "samansi" na mahakama.Kwa taarifa nilizopewa kesi imefikishwa mahakamani na mtendaji bila ridhaa ya wazazi na anawalazimisha waende mahakamani kutoa ushaidi ila wamegoma kwenda. Unanishauri niwaambie wafanye nini?
Sawa sawa.Wasiende mpaka watumiwe "samansi" na mahakama.
HahaaaaaaaaaaaaTatizo kubwa Sana