Msaada wa kisheria kuhusu mgawanyo wa fedha za malipo ya marehemu

Msaada wa kisheria kuhusu mgawanyo wa fedha za malipo ya marehemu

BONTABOY

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2015
Posts
234
Reaction score
238
Habari humu ndani naomba kupata mwongozo kidogo Baba yangu alikuwa na mji hapa dar na amefariki sasa mji wake umetwaliwa na TRC kwa ajili ya ujenzi wa SGR sasa malipo yake ndio naitaji kujua mgawanyiko wake unakuwaje tuko watoto sita na mama , kuna jambo moja nataka kuongeza hapo sisi watoto watatu wakubwa tuna mama yetu ambae alitarikiana na mzee na yeye ameshafariki na mzee akawa na mwanamke mwingine ambapo nao wako watoto watatu
 
Habari humu ndani naomba kupata mwongozo kidogo Baba yangu alikuwa na mji hapa dar na amefariki sasa mji wake umetwaliwa na TRC kwa ajili ya ujenzi wa SGR sasa malipo yake ndio naitaji kujua mgawanyiko wake unakuwaje tuko watoto sita na mama , kuna jambo moja nataka kuongeza hapo sisi watoto watatu wakubwa tuna mama yetu ambae alitarikiana na mzee na yeye ameshafariki na mzee akawa na mwanamke mwingine ambapo nao wako watoto watatu
TAFUTA WAKILI/MWANASHERIA AKUPE TARATIBU ZA KUFUNGUA MIRATHI MAHAKAMANI, KAMA MNA WOSIA ALIOUACHA MZEE UTAWASAIDIA PIA
 
Back
Top Bottom