Msaada wa Kisheria kwa Ndugu aliyekataa Kuondoka kwenye Kiwanja Alichopewa Kukaa kwa Muda

Msaada wa Kisheria kwa Ndugu aliyekataa Kuondoka kwenye Kiwanja Alichopewa Kukaa kwa Muda

Sagungu 1914

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
938
Reaction score
581
Sheria inasemaje Kwa mwanaukoo aliyekatalia kwenye kiwanja alichopewa na ukoo kuishi Kwa muda mpaka pale itakapoamriwa vinginevyo.
 
Sheria inasemaje Kwa mwanaukoo aliyekatalia kwenye kiwanja alicho pewa na ukoo kuishi Kwa muda mpaka pale itakapo amriwa vinginevyo.
licensee
from high court judgement
I am not oblivious of the position of the law that a mere licensee or an invitee cannot claim adverse possession/ownership . However, the same is subject to proof by the so called owner of the disputed land that indeed the invader was merely licenced to use the land
 
licensee
from high court judgement
I am not oblivious of the position of the law that a mere licensee or an invitee cannot claim adverse possession/ownership . However, the same is subject to proof by the so called owner of the disputed land that indeed the invader was merely licenced to use the land
Sasa mtu ameuliza kiswahili wewe unajibu kizungu[emoji849][emoji849].
 
Sasa mtu ameuliza kiswahili wewe unajibu kizungu[emoji849][emoji849].
Sheria zetu tume-copy kutoka kwa mkoloni wetu mwingreza so lazima zielezwe kwa lugha yao ili kuleta maana iliyokusudiwa ukisema aitafsiri italeta maana tofauti kabisa.
 
Nenda manispaa au halmashauri ila anzia kutoa malalamiko kwa mwenye kitu wa kijiji unaanza balozi, mwenyekiti, mtendaji, halafu ndio wakupe mwongozo.
 
Umiliki kwenye nyaraka unamsoma nani? Kama kajiongeza katengeneza makaratasi ya umiliki na hayo makubaliano yenu hayako kwenye maandishi umekwisha
Pia Kuna uwezekano kati ya wanaodai aondoke hakuna mmiliki kati Yao unakuta ni kiwanja Cha Babu yao ambacho jamaa amekaa na familia yake Kwa miaka 10 au 15. Leo Hana hata mia na ameshafanya kwake unasema atoke aende wapi? Na nyumba atawauzia au kumwachia nani? Anae achiwa anaachiwa Kama nani kwenye ukoo au familia? Je atalipa fidia ya nyumba? Kwanini wasimwachie eneo la nyumba tu aendelee kuishi na wao wajenge eneo jingine kwakua ni ndugu Yao au amekosa Nini kwenye ukoo?

Wamuachie tu alipojenga na maisha yaendelee. Naamini katika kauli inayosema "che kidudumbe kihuvye umwina" yenye maana kuwa anaejivuna Kuna kitu anakitegemea. Hivyo wasitake kujua anategemea Nini watakuja kustuka wameisha.
 
Sheria inasemaje Kwa mwanaukoo aliyekatalia kwenye kiwanja alichopewa na ukoo kuishi Kwa muda mpaka pale itakapoamriwa vinginevyo.
Mali za ukoo changamoto sana, ila kama wakati wanapeana kulikuwa na maandishi shughuli itakuwa nyepesi kumuondoa. Otherwise inabidi waangalie document za umiliki kama mmiliki bado yupo hai na kama hayupo kwenye mirathi nani msimamizi
 
Sheria inasemaje Kwa mwanaukoo aliyekatalia kwenye kiwanja alichopewa na ukoo kuishi Kwa muda mpaka pale itakapoamriwa vinginevyo.

Hakuna sheria zaidi ya uhalali wa umiliki wa ardhi ni makaratasi, sema status ya Makaratasi kabla ya kwenda kwenye sheria.
 
Pia Kuna uwezekano kati ya wanaodai aondoke hakuna mmiliki kati Yao unakuta ni kiwanja Cha Babu yao ambacho jamaa amekaa na familia yake Kwa miaka 10 au 15. Leo Hana hata mia na ameshafanya kwake unasema atoke aende wapi? Na nyumba atawauzia au kumwachia nani? Anae achiwa anaachiwa Kama nani kwenye ukoo au familia? Je atalipa fidia ya nyumba? Kwanini wasimwachie eneo la nyumba tu aendelee kuishi na wao wajenge eneo jingine kwakua ni ndugu Yao au amekosa Nini kwenye ukoo?

Wamuachie tu alipojenga na maisha yaendelee. Naamini katika kauli inayosema "che kidudumbe kihuvye umwina" yenye maana kuwa anaejivuna Kuna kitu anakitegemea. Hivyo wasitake kujua anategemea Nini watakuja kustuka wameisha.
Che kidudumba kihuvye umwina.
Kamwene mnyalukolo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria zetu tume-copy kutoka kwa mkoloni wetu mwingreza so lazima zielezwe kwa lugha yao ili kuleta maana iliyokusudiwa ukisema aitafsiri italeta maana tofauti kabisa.
Sawa ,kwahiyo nayeye amekariri ,hakuelewa au inakuaje ashindwe kutafsiri
 
Back
Top Bottom