What is Bachelor of Science real estate?naomba msaada wenu kuhus hii koz inahusian n nin
Nisaidie mkuu kam unaijua aseeaiseee bache what?
Oh saw sawWhat is Bachelor of Science real estate?
What is a BSc in Real Estate? This bachelor's degree focuses on the fundamentals of the trade in local and international housing associations and real estate. Students can learn about strategic management, investment analysis and real estate finance
Kwa nini kiongoz n koz mbaya?Kwa ushauri wangu nenda kasome BAF Bachelor of Accounting and Finance Mzumbe , au TIA & AIA zaid ya hapo utakuja kujuta hapo mbeleni
Oh saw saw mkuu je kwa upand wa kujiajiriw unafany kampun kama zipi pia kijiajir unapiga mish kama zipiWhat is Bachelor of Science real estate?
What is a BSc in Real Estate? This bachelor's degree focuses on the fundamentals of the trade in local and international housing associations and real estate. Students can learn about strategic management, investment analysis and real estate finance
Umesoma mpaka form six,Oh saw saw
Kwa nini kiongoz n koz mbaya?
iko very wde then kupata mchongo kwa kozi hiyo ni mtihani kabisa ila fuata moyo yakoOh saw saw
Kwa nini kiongoz n koz mbaya?
Baadhi ya kaziOh saw saw mkuu je kwa upand wa kujiajiriw unafany kampun kama zipi pia kijiajir unapiga mish kama zipi
Duuh asee sawa saw mkuuiko very wde then kupata mchongo kwa kozi hiyo ni mtihani kabisa ila fuata moyo yako
Oh shukran mkuuBaadhi ya kazi
- Construction Management. Construction is one of the most costly parts of developing a new real estate project. ...
- Commercial Real Estate Analyst. ...
- Real Estate Broker. ...
- Mortgage Lender. ...
- Financial Advisor. ...
- Portfolio Manager.
Dahh hii hata kujiajiri unaweza washkaji waliomaliza ardhi pale Wana makampuni yao na pia wengi waliajiriwa national house wanakuwa na maeneo wanaajiri watu wanapima viwanja na kujenga na nyumbaOh saw saw mkuu je kwa upand wa kujiajiriw unafany kampun kama zipi pia kijiajir unapiga mish kama zipi
Oh kwa maan hii koz n nzuri?Dahh hii hata kujiajiri unaweza washkaji waliomaliza ardhi pale Wana makampuni yao na pia wengi waliajiriwa national house wanakuwa na maeneo wanaajiri watu wanapima viwanja na kujenga na nyumba
Ndio kama umepata kasome utoboe miaka 4 wakati Niko ardhi walikuwa pale tena wachacheOh kwa maan hii koz n nzuri?
Shukran mkuu ngoj dirisha likifunguliw niombeNdio kama umepata kasome utoboe miaka 4 wakati Niko ardhi walikuwa pale tena wachache
Shukran mkuuMimi nimesoma REFI (real estate finance n’ invest) ni kozi nzuri sana ila kwa TZ bado sana, inakupa maarifa mengi sana kuwa tayari kujifunza baadae utafaidika.
Daaah asee,bro unanishaur nipige koz gani maan,mm nilikuw natak nipige koz hii au urban planning vip n hii unanishaurijeSoma hiyo fani kama una mtaji tayari wa kujiajiri,lakini kama unategemea kuajiriwa achana na hiyo fani; utapoteza muda mwisho wa siku utaona ulimwengu umekutenga.