Inategemea na utakavyojenga mkanda wako. Bado unaweza kuondoa mambo mengi na kusevu hela.
Ila, nyumba yako ina kuta nyingi sana. perimeter karibu 110m na hapo bila veranda.
Sasa 110 m matofali na reinforcement ya msingi/ au hata kama utatumia mawe bado itakugharimu.
Halafu huyo jamaa aliyekuchorea, amekufanya uamini nyumba yako ni 15 X14 ila ni ndogo kuliko, na eneo kubwa la mchoro huo siyo livable.
All in all, wewe ndiyo mwenye nyumba na una matamanio yako, ila ningependa uje utuletee mrejesho. Kwa sababu naamini bila 6m au at least 4m ukijibana sana, bado hujajenga msingi.
Again, hiyo ni based on experience, mimi siyo fundi.