Nakubali hili. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Polisi wetu uwajui Wewe, Huyo tapeli wanaweza wakampata na wasikuambie kua wamempata wakamkamua pesa na wakamuachia, kila ukifuatilia unaambiwa hajapatikana anafuatiliwa na wameshakukamua pesa hasara juu ya hasara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna tapeli anayetumia namba yake aliyosajili kwa ID yake.
Ingekuwa ni hivyo basi wale matapeli wanaopigia watu simu na kujifanya ni Tigo customer care wasingekuwepo.
Mimi huwa haipiti mwezi lazima wanipigie kwa namba tofauti nimeripoti tigo mpaka sasa nimechoka, wakinipigia wanakoga matusi ya kutosha na wao wanarudishia matusi halafu unawauliza wewe ndio customer care? Mimi mwenyewe natafuta mtu wa kumtapeli saa hizi.
Inawezekana, because wengine wanaishia kuifanya spea baadhi ya sehemu zisizoweza kutambulika.Hiyo ni kweli aisee, Mie mwenyewe mwaka jana niliibiwa smartphone, nilvoenda polis nikakamuliwa 60,000 alafu baada ya hapo kila nikiulizia naambiwa mwizi hajawahi kupatikana, kwamba hajahi kuingiza cm hewani, huu ni uwongo mwizi gani wa kuiba cm alafu aishie kutunza ndani? najutia kwenda polis maana niliingia hasara zaidi!
nashauri serikali ingeruhusu wananchi kujitafutia cm wao wenyewe pindi wanapoibiwa wakishampata mwizi ndipo polis wataarifiwe! Huu utaratiu wa sasa unatoa mwanya kwa polis kupiga pesa bnadala ya kutoa msaada!
I was answering to the victim's response. As for "akili huna?" I leave that to members to judge who between us is brainless. Check your last sentence and make corrections so we may understand what you wanted to say. Have a good day.Hii siyo sehemu ya mjadala. Tunafokasi kumshauri mhanga nini afanye. Akili huna? Who solicited your troubles even?
Shida lain inakuwa imesajiliwa kwa jina ambalo si lake mwizi lain alinunua ikiwaimesajiriwa, upate bahati iwe imesajiriwa jina lakeUna hakika namba hiyo ilisajiliwa kwa jina lake? Lakini pia, wanaweza (mamlaka husika) kufuatilia kujua before hiyo namba ilikuwa ikiwasiliana na nani, then kutoka hapo itajulikana nani aliwahi kutumia namba iliyohusika kukutapeli wewe.
Don't give up! Kumbuka hata ukitumia gharama kubwa, akipatikana mhalifu atazilipa zote.
Usiwasikilize wengine humu, huenda ni walewale matapeli na ndio wanakukatisha tamaa ili kuulinda mtandao wao.
Ni kweli katika 10 waweza kumpata mmoja askari wengi ni kama 👇Exactly.... Zile recent communication ndo zitakusaidia. ... Gharama ya kutrace kwa police ni Kama 50000 hivi. ...mi nishawahi kutrace simu yangu kwa njia ya IMEI , na nikaipata ...kikubwa upate Askari mwenye ako na ubinadamu tu
Zipo namba nyingi zinatumika bila usajili.Kumbuka kuna kitambulisho cha taifa kwenye usajili
Duuuh [emoji848]Ni kweli katika 10 waweza kumpata mmoja askari wengi ni kama [emoji116]
Polisi saba mbaroni wakituhumiwa kulamba mabilioni ya pesa
Dunia haiishi maajabu aiseeee. "Geshi" letu linachekesha sana kama sio kusikitisha. Anyway habari kamili hii hapa. --- Maofisa saba wa Jeshi la Polisi wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiwa na mashtaka ya wizi na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Sh1.16 bilioni...www.jamiiforums.com
Huo mtandao wote unakusanywa, lazima culprit apatikane.Shida lain inakuwa imesajiliwa kwa jina ambalo si lake mwizi lain alinunua ikiwaimesajiriwa, upate bahati iwe imesajiriwa jina lake
Tatizo ni kwamba kuna idadi kubwa ya watu ambao hawana vitambulisho vya NIDA; wakati huohuo, network providers wanataka wateja ili wapate cash kisha walipe kodi.Zipo namba nyingi zinatumika bila usajili.
Watu waliokuwa wanatafutwa walisha patikana na usajili ukaishia hapo, siku hizi hakuna kiongozi anayezungumzia usajili, hata TCRA hawajui namba zilizosajiliwa.
Una uhakika na ulisemalo?tafuta zingine mkuu hiyo ni ngumu sana kumpata kwa namba isiyopatikana, labda siku moja ukutanenae uso kwa uso.
Hivi wewe unajua hadi sasa nimeshamsaidia kwa kiasi gani? Wengine hatujui kujishaua kama nyie vibwengo wa mapangoni.Nitakuona wa maana kama utamchangia mdau pesa isiyopunguwa laki mbili kwa ajili ya follow up ili muweze kuukamata huo mtandao na siyo unabwabwaja tu kama huna meno.