Hiyo ni kweli aisee, Mie mwenyewe mwaka jana niliibiwa smartphone, nilvoenda polis nikakamuliwa 60,000 alafu baada ya hapo kila nikiulizia naambiwa mwizi hajawahi kupatikana, kwamba hajahi kuingiza cm hewani, huu ni uwongo mwizi gani wa kuiba cm alafu aishie kutunza ndani? najutia kwenda polis maana niliingia hasara zaidi!
nashauri serikali ingeruhusu wananchi kujitafutia cm wao wenyewe pindi wanapoibiwa wakishampata mwizi ndipo polis wataarifiwe! Huu utaratiu wa sasa unatoa mwanya kwa polis kupiga pesa bnadala ya kutoa msaada!