Mkuu sikufichi hakuna anayejua ya mbele, na wakati tatizo hili linapotaka kutokea au unapokuwa na tapeli kuna roho inakwambia kwamba huyu ni tapeli ila kuna nyingine inakuwa inataka kupingana nayo, yani roho zinakuwa 50% kwa 50% hivyo unashindwa kujua kwamba ipi inakwambia ukweli, kikubwa nilichochukuliwa ni mzigo una thaman ya laki 5, alinipigia simu nimpelekee yuko sinza kufika nikamkuta ofisini kwa mazingira anayoyatengeneza huyo mtu ni kujifanya kama anauzoefu sana na anajuana ama ni mwenyeji wa hapo ofisini nilivyokutana naye tukafanya mazungumzo mzigo ikabidi tuuhifadhi hapo ofisini ili twende tukachukue ela, tukatoka kama meter 300 na hapo ofisini tukafika mpk benk akaingia sehem ndani ya hyo bank akasema nimsubiri, machale yakanicheza wakat anaingia tu hyo sehem me nikasema nirudi nikauwai mzigo yawezekana huyu ni tapeli sababu kwann anaagiza mzigo na pesa hajajipanga , nikatoka haraka sana kwenda kuuwai mzigo, kumbe yeye alijipanga alivyotoka tu mlango mwingine alikuwa na pikpik akaenda kuchukua mzigo na piki piki kilichonifanya niukose ni kwamba mimi nilikuwa natembea sababu meter 300 sio mbali, kufika naambiwa kaondoka sasahv na pikipiki na hawamfahamu ila tu alionesha kuwachangamkia pale ofisini mpk wakawa wanamshangaa..... ndo nilikosa mzigo kwa namba hiyo