Msaada wa kumpata mtu aliyenitapeli

Msaada wa kumpata mtu aliyenitapeli

Unakutana na mtu mara ya kwanza, unamuamini, unampa laki tano kiurahisi halafu unalalamika kutapeliwa? Jifunze kutokana na makosa hayo. Pili kuepuka hasara zaidi hesabu hiyo kama sadaka na Mshukuru Mungu kwa yote.
 
Polisi wetu uwajui Wewe, Huyo tapeli wanaweza wakampata na wasikuambie kua wamempata wakamkamua pesa na wakamuachia, kila ukifuatilia unaambiwa hajapatikana anafuatiliwa na wameshakukamua pesa hasara juu ya hasara
Pessimists have never been at the top of their game! Poor soul! This thing is 100% possible. Acheni kudhani kila askari wa jeshi la polisi ni mkosa-maadili. Overgeneralization is what kills your intelligence.
 
Hata kama namba yake haipatikani kuna uwezekano wa kumkamata. Kitachofanyika ni kutrace IMEI ya simu iliyokuwa inatumika hiyo namba, halafu watacheki hiyo SIMU inatumika kwa namba ipi.

Sema hii process inaweza kukufanya upigwe mara tatu ya hiyo pesa. Pia kuna uwezekano wa kukutana na polisi wasiohusika na Cyber, wakakulia pesa, wakakupotezea bila msaada!
Very good advice. Kuna watu wengi sana wanakamatwa kila siku. Unatakiwa kukubalia kufuatilia100%, uwapatie ushirikiano na uwe mvumilivu pia. It takes time and some resources. I strongly advice him to move forward, atakuja kutupatia mrejesho wa mafanikio soon.

Kama anajiweza kifedha, afanye multiple tracking. Asitegemee sehemu moja tu ya ufuatiliaji. Haiwezi kuchukua zaidi ya wiki mbili, mtuhumiwa anakuwa ametiwa chini ya vyombo vya usalama.
 
Very good advice. Kuna watu wengi sana wanakamatwa kila siku. Unatakiwa kukubalia kufuatilia100%, uwapatie ushirikiano na uwe mvumilivu pia. It takes time and some resources. I strongly advice him to move forward, atakuja kutupatia mrejesho wa mafanikio soon.

Kama anajiweza kifedha, afanye multiple tracking. Asitegemee sehemu moja tu ya ufuatiliaji. Haiwezi kuchukua zaidi ya wiki mbili, mtuhumiwa anakuwa ametiwa chini ya vyombo vya usalama.
Multiple tracking ndo nini mkuu
 
Hata kama namba yake haipatikani kuna uwezekano wa kumkamata. Kitachofanyika ni kutrace IMEI ya simu iliyokuwa inatumika hiyo namba, halafu watacheki hiyo SIMU inatumika kwa namba ipi.

Sema hii process inaweza kukufanya upigwe mara tatu ya hiyo pesa. Pia kuna uwezekano wa kukutana na polisi wasiohusika na Cyber, wakakulia pesa, wakakupotezea bila msaada!
Very good point
 
Unakutana na mtu mara ya kwanza, unamuamini, unampa laki tano kiurahisi halafu unalalamika kutapeliwa? Jifunze kutokana na makosa hayo. Pili kuepuka hasara zaidi hesabu hiyo kama sadaka na Mshukuru Mungu kwa yote.
Mkuu sikufichi hakuna anayejua ya mbele, na wakati tatizo hili linapotaka kutokea au unapokuwa na tapeli kuna roho inakwambia kwamba huyu ni tapeli ila kuna nyingine inakuwa inataka kupingana nayo, yani roho zinakuwa 50% kwa 50% hivyo unashindwa kujua kwamba ipi inakwambia ukweli, kikubwa nilichochukuliwa ni mzigo una thaman ya laki 5, alinipigia simu nimpelekee yuko sinza kufika nikamkuta ofisini kwa mazingira anayoyatengeneza huyo mtu ni kujifanya kama anauzoefu sana na anajuana ama ni mwenyeji wa hapo ofisini nilivyokutana naye tukafanya mazungumzo mzigo ikabidi tuuhifadhi hapo ofisini ili twende tukachukue ela, tukatoka kama meter 300 na hapo ofisini tukafika mpk benk akaingia sehem ndani ya hyo bank akasema nimsubiri, machale yakanicheza wakat anaingia tu hyo sehem me nikasema nirudi nikauwai mzigo yawezekana huyu ni tapeli sababu kwann anaagiza mzigo na pesa hajajipanga , nikatoka haraka sana kwenda kuuwai mzigo, kumbe yeye alijipanga alivyotoka tu mlango mwingine alikuwa na pikpik akaenda kuchukua mzigo na piki piki kilichonifanya niukose ni kwamba mimi nilikuwa natembea sababu meter 300 sio mbali, kufika naambiwa kaondoka sasahv na pikipiki na hawamfahamu ila tu alionesha kuwachangamkia pale ofisini mpk wakawa wanamshangaa..... ndo nilikosa mzigo kwa namba hiyo
 
Una hakika namba hiyo ilisajiliwa kwa jina lake? Lakini pia, wanaweza (mamlaka husika) kufuatilia kujua before hiyo namba ilikuwa ikiwasiliana na nani, then kutoka hapo itajulikana nani aliwahi kutumia namba iliyohusika kukutapeli wewe.

Don't give up! Kumbuka hata ukitumia gharama kubwa, akipatikana mhalifu atazilipa zote.

Usiwasikilize wengine humu, huenda ni walewale matapeli na ndio wanakukatisha tamaa ili kuulinda mtandao wao.
Nitakuona wa maana kama utamchangia mdau pesa isiyopunguwa laki mbili kwa ajili ya follow up ili muweze kuukamata huo mtandao na siyo unabwabwaja tu kama huna meno.
 
Mkuu sikufichi hakuna anayejua ya mbele, na wakati tatizo hili linapotaka kutokea au unapokuwa na tapeli kuna roho inakwambia kwamba huyu ni tapeli ila kuna nyingine inakuwa inataka kupingana nayo, yani roho zinakuwa 50% kwa 50% hivyo unashindwa kujua kwamba ipi inakwambia ukweli, kikubwa nilichochukuliwa ni mzigo una thaman ya laki 5, alinipigia simu nimpelekee yuko sinza kufika nikamkuta ofisini kwa mazingira anayoyatengeneza huyo mtu ni kujifanya kama anauzoefu sana na anajuana ama ni mwenyeji wa hapo ofisini nilivyokutana naye tukafanya mazungumzo mzigo ikabidi tuuhifadhi hapo ofisini ili twende tukachukue ela, tukatoka kama meter 300 na hapo ofisini tukafika mpk benk akaingia sehem ndani ya hyo bank akasema nimsubiri, machale yakanicheza wakat anaingia tu hyo sehem me nikasema nirudi nikauwai mzigo yawezekana huyu ni tapeli sababu kwann anaagiza mzigo na pesa hajajipanga , nikatoka haraka sana kwenda kuuwai mzigo, kumbe yeye alijipanga alivyotoka tu mlango mwingine alikuwa na pikpik akaenda kuchukua mzigo na piki piki kilichonifanya niukose ni kwamba mimi nilikuwa natembea sababu meter 300 sio mbali, kufika naambiwa kaondoka sasahv na pikipiki na hawamfahamu ila tu alionesha kuwachangamkia pale ofisini mpk wakawa wanamshangaa..... ndo nilikosa mzigo kwa namba hiyo
Duu mkuu pole sana asee maisha tu haya mkuu yatapita😞😞
 
Multiple tracking ndo nini mkuu
Anakupotezea muda wako tu bure, hana huruma na wewe, anataka uendelee kugawa pesa usawa huu wakati hizo line za kutapelia zikishatumika wanaflush chooni.

Wanaochonga line za kutapelia ni freelancer wa mitaani.
 
Sijaelewa Chief,ni Bank gani hiyo aliyoingia pale Sinza??BOA Bank au??na ina mlango mwingine wa kutokea au??mlipoondoka dukani kwenda Bank mlienda kwa Pikipiki au mlitembea kwa miguu??
 
Mbona haujaeleza alikutapeli vipi tuone ni uzembe umefanya au jamaa katumia akili nyingi
 
Sijaelewa Chief,ni Bank gani hiyo aliyoingia pale Sinza??BOA Bank au??na ina mlango mwingine wa kutokea au??mlipoondoka dukani kwenda Bank mlienda kwa Pikipiki au mlitembea kwa miguu??
kesi ya aliyetapeliwa gari imeishiaje, ume conclude vipi, em mwagika kule uzini tupate hatma kama mtoa mada alizingua au vipi
 
NIliwahi kutapeliwa kama wewe mkuu na nikamkamata mwizi wangu. Alinipiga laki 2.4 nikiwa High School kwa njia ya mtandao na nilimuona mara moja tu na sikuwa na simu wala namba yake.

ilikuwa mwezi wa 10 tukiwa tunafungua shule, nilienda central (mwanza hapa) nikafungua RB nikaenda shule.

Hio hela nilipigwa kwa njia ya Nmb Mobile. (Nilienda shule nikiwa na masikitiko makubwa sana) .. yani mtu nilietaka kumsaidia kwa moyo.moja ndio kaniumiza aisee.

nakumbuka nilipofika Bukoba kesho yake asubuhi tu niliwahi Voda shop nika renew line yangu.maana alibaki nayo yule tapeli.

Baada ya ku renew ikakaa siku 3 ikasaidia kurudisha muamala uliotolewa kwa NMB MOBILE. LAKI 2 IKARUDI.

hio hela ilini surprise sana mpaka nikatoroka kwenda benki kuomba ufafanuzi, wakanipa bamk statement ndio nikaona namba ya simu nyingine iliyotumiwa hela kutoka kwangu

Baada ya.miezi mitano tulipofunga shule, nilirudi central (tena nikiwa nimepoteza RB), Nikawakumbusha tarehe na mwezi nilipofungua malalamiko yangu, wakanipa rb No na wakanipangia mpelelezi.

Bahati nzuri nikakutana na Afande ambae ni mtu wa nyumbai kabisa huko nilikotoka.

Huwezi amini ile namba iliyofanya uhalifu, mwenyewe alishikwa ndani ya siku 3 tu!! Kumbuka enzi hizo hakukuwa na mambo ya NIDA (Miaka 10 sasa imepita).

matapeli wengi hawatumii namba zao za simu halisi. Tegemea kumkamata mtu ambae si sahihi twna asie na uwezo wa kukulipa hata mia.mbovu

sitakaa nimsahau huyu afande..
 
Habari wakuu pia poleni kwa majukumu na migangaiko ya kila siku.

Dhumuni la kuleta uzi huu ni kwamba siku ya juzi Jumapili, niliweza kutapeliwa pesa na mtu ambaye nilikutana naye kwa ajili ya biashara ndipo aliweza kunitapeli karibu laki 5 taslim, kwa sura huyo mtu namfahamu na ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kukutana naye na kuna number alitumia kunitafuta ambayo iliweza kupatikana hiyo juzi na jana ila leo haipatikani, kesi ya huyo mtu iko central police

SWALI JE.
Huyo mtu anaweza kupatikana kwa kupitia hiyo namba ya simu kana kwamba juzi na jana ilikuwa hewani ila leo haipatikani?

Nimefuatilia Polisi wamesema wako kwenye utaratibu wa kufuatilia hiyo number. Na kuna gharama za kutoa kwenye ishu kama hiyo .

Swali je?

KUNA ALIYEWAI KUMPATA MTU AMA MTUHUMIWA WAKE KWA KUPITIA NUMBER YA SIMU?

MWENYE experience naomba aweze kunieleza kama alifanikiwa na ilikuwaje?
nilipata simu lakini baada ya kutumia laki na nusu kwa afande aliyenisaidia. nilimuahidi dau mapema
 
NIliwahi kutapeliwa kama wewe mkuu na nikamkamata mwizi wangu. Alinipiga laki 2.4 nikiwa High School kwa njia ya mtandao na nilimuona mara moja tu na sikuwa na simu wala namba yake.

ilikuwa mwezi wa 10 tukiwa tunafungua shule, nilienda central (mwanza hapa) nikafungua RB nikaenda shule.

Hio hela nilipigwa kwa njia ya Nmb Mobile. (Nilienda shule nikiwa na masikitiko makubwa sana) .. yani mtu nilietaka kumsaidia kwa moyo.moja ndio kaniumiza aisee.

nakumbuka nilipofika Bukoba kesho yake asubuhi tu niliwahi Voda shop nika renew line yangu.maana alibaki nayo yule tapeli.

Baada ya ku renew ikakaa siku 3 ikasaidia kurudisha muamala uliotolewa kwa NMB MOBILE. LAKI 2 IKARUDI.

hio hela ilini surprise sana mpaka nikatoroka kwenda benki kuomba ufafanuzi, wakanipa bamk statement ndio nikaona namba ya simu nyingine iliyotumiwa hela kutoka kwangu

Baada ya.miezi mitano tulipofunga shule, nilirudi central (tena nikiwa nimepoteza RB), Nikawakumbusha tarehe na mwezi nilipofungua malalamiko yangu, wakanipa rb No na wakanipangia mpelelezi.

Bahati nzuri nikakutana na Afande ambae ni mtu wa nyumbai kabisa huko nilikotoka.

Huwezi amini ile namba iliyofanya uhalifu, mwenyewe alishikwa ndani ya siku 3 tu!! Kumbuka enzi hizo hakukuwa na mambo ya NIDA (Miaka 10 sasa imepita).

matapeli wengi hawatumii namba zao za simu halisi. Tegemea kumkamata mtu ambae si sahihi twna asie na uwezo wa kukulipa hata mia.mbovu

sitakaa nimsahau huyu afande..
Ila sasa si kuna mambo ya nida pia kwa sasa pia niombee Mungu kwamba awe na number ambazo alijaribu kuwasiliana nao ndo utakuwa unafuu kwangu
 
Back
Top Bottom