Habari zenu wakuu, msaada wa eneo zuri kwa ajili ya kufanya biashara ya uwakala wa benki kwa hapa Iringa Mjini. Kama wanaoufahamu mji vizuri ni wapi naweza pata eneo na pakavutia hii biashara. Asante. PM iko wazi pia!!
Fanya utafiti mwenyewe mkuu .Habari zenu wakuu, msaada wa eneo zuri kwa ajili ya kufanya biashara ya uwakala wa benki kwa hapa Iringa Mjini. Kama wanaoufahamu mji vizuri ni wapi naweza pata eneo na pakavutia hii biashara. Asante. PM iko wazi pia!!
Iringa stand ya zaman pale ndo Pana watuHabari zenu wakuu, msaada wa eneo zuri kwa ajili ya kufanya biashara ya uwakala wa benki kwa hapa Iringa Mjini. Kama wanaoufahamu mji vizuri ni wapi naweza pata eneo na pakavutia hii biashara. Asante. PM iko wazi pia!!
Dah! Kweli Waafrika ndiyo viumbe pekee duniani tuliopata bahati ya kupewa uwezo wa kuwaza kwa kutumia vichwa viwili kwa wakati mmoja! Kile kikubwa cha juu, na kile kidogo cha chini!!Nje ya mada hivi Iringa kuna bebezi kali kweli?
Penye vyuo kama Tumaini (Iringa University), Ruaha Catholic, Mkwawa, Chuo Cha Afya n.k patakosekanaje bebezi?Nje ya mada hivi Iringa kuna bebezi kali kweli?
zipo miami na C2CNje ya mada hivi Iringa kuna bebezi kali kweli?