Msaada wa matibabu ya ugonjwa wa kutoka malengelenge kwenye ngozi

asante yote tutayafanya
 
Fanya hivi nenda pale azania front kanisani dar es salaam . Kuna dispensari madaktari wake wa magonjwa ya ngozi nj wazuri. Kuna mgonjwa wangu ilimsumbua sana ugonjwa wa aina hiyo. Kama hawapo tena pale waulize wakuelekezd walipo kwa sasa.
Nilikwenda wakasema hawapo . mmoja umu akanambia kuwa wako SUA. SUA hawapo nikaelekezwa kuwa wako Mlinami City. Nikaenda, lakini wale ni watu wa lishe na si madaktari. Naomba maelezo ni hao watu wa lishe au ni MDs?
 
Kuna mmea mmoja sijui unaitwaje, ila kuna binti mmoja alisumbuka sana ulimsaidia nadhani ndani ya wiki mbili ilipotea kabisaa!! Ni kama miaka 5 sasa vipele havijarudi!! Ngoja niutafute nikupigie picha
Uliahidi kunisaidia huo mmea, tafadhali niambie ni upi? please and please
 
Mrejesho:
My sister has passed away! Tunamshukuru Mungu kwa yote. RIP my Sister!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…