Msaada wa Mawazo: Hapa panafaa kujenga?

Msaada wa Mawazo: Hapa panafaa kujenga?

Zeemadeit

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
830
Reaction score
1,673
Habari! Kuna eneo nmeoneshwa na rafiki angu bei nzuri kdogo. Sina uzoefu na ujenzi (sijawah kujenga).

Baada ya kupaona kama sijaridhika napo japo bei ni nzuri . Nahofia kuna uwezekano pakawa panajaa maji. Wamenihakikishia kua hakuna kitu hicho ila najua tu ni lugha ya biashara.

Picha hizo ila sikupiga vzuri sana. Picha ya pili hapo karibu na miti ya mwembe ndio eneo lipo.

20221023_152058.jpg
20221023_153139.jpg
 
Habari! Kuna eneo nmeoneshwa na rafiki angu bei nzuri kdogo. Sina uzoefu na ujenzi (sijawah kujenga).

Baada ya kupaona kama sijaridhika napo japo bei ni nzuri . Nahofia kuna uwezekano pakawa panajaa maji. Wamenihakikishia kua hakuna kitu hicho ila najua tu ni lugha ya biashara.

Picha hizo ila sikupiga vzuri sana. Picha ya pili hapo karibu na miti ya mwembe ndio eneo lipo.
Kama ni bondeni hapafai zikija mvua kubwa imekula kwako
 
Wenzako huwa tunafanya hivi....umewaona hao majirani hapo?sasa jifanye kama unaenda kuomba maji ya kunywa then itumie hiyo nafasi kuuliza juu ya uwepo wa maji eneo hilo au rudi siku nyingine kmy kmy uwaulize majirani na viongozi wa mtaa ndivyo huwa tunafanya.
 
Kama ni bondeni hapafai zikija mvua kubwa imekula kwako
Duh
Wenzako huwa tunafanya hivi....umewaona hao majirani hapo?sasa jifanye kama unaenda kuomba maji ya kunywa then itumie hiyo nafasi kuuliza juu ya uwepo wa maji eneo hilo au rudi siku nyingine kmy kmy uwaulize majirani na viongozi wa mtaa ndivyo huwa tunafanya.
Ahsante sana nitafanya hivyo
 
Habari! Kuna eneo nmeoneshwa na rafiki angu bei nzuri kdogo. Sina uzoefu na ujenzi (sijawah kujenga).

Baada ya kupaona kama sijaridhika napo japo bei ni nzuri . Nahofia kuna uwezekano pakawa panajaa maji. Wamenihakikishia kua hakuna kitu hicho ila najua tu ni lugha ya biashara.

Picha hizo ila sikupiga vzuri sana. Picha ya pili hapo karibu na miti ya mwembe ndio eneo lipo.

View attachment 2474502View attachment 2474503

Kama Unauwezo zungushia ukuta Ila msingi wa ukuta upande juu Kama mete moja toka kwenye usawa wa ardhi, ndani mwaga kifusi ili nyumba iwe imeanzia juu sana Kama hauna uwezo anza na msingi mrefu sana Baadae utamwaga kifusi na kuzungushia ukuta lengo ukiwa unaingia kwako Basi uwe Kama unapandisha mlima hata Kama sehemu ipo tambarare lazima kuna uwezekano wa maji kujaa eneo lote mfano mzuri mikocheni, boko. Kujiweka salama wakati wenzako wanazungukwa na maji wewe unakuwa umetulizana Bila pressure
 
Back
Top Bottom