Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Kwa muonekano wa ujumla wa picha, hilo eneo linaonekana liko poa sana, tambarare fulani hivi iliyonyooka fresh. Sijaona dalili yoyote ya kuashiria kuja kujaa maji. Nakushauri ununue tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Kiluvya nshawahi kugombana na Dalali ananilazimisha kwa kiwanja hakipo bindeni wakati naona nyumba za jirani zinaonesha wazi maji yanapoishiaga mvua zikinyeshaUmemaliza kila kitu.
Hutahitaji kuambiwa na mtu, wewe mwenyewe utajionea kila kitu wakati wa masika.
AhsanteJenga kama ni njia ya maji yape njia ya kutokea. Tafuta fundi mzuri na mzoefu atakupa ushauri na utajenga vizuri tu hapo.
Ingekuwa eneo liko karibu na bonde la mto au kijito au kweye mporomoko nisingekushauri ujenge ila slope ya hapo ni ya kawaida sana
Kiwanja chako kipo chini ukilinganisha na kule kwa jirani zako, sasa angalia jinsi ya foundation ya jirani kule jinsi ilivoinuka halaf kuanzia hapo utapata jibu la swali lakoHabari! Kuna eneo nmeoneshwa na rafiki angu bei nzuri kdogo. Sina uzoefu na ujenzi (sijawah kujenga).
Baada ya kupaona kama sijaridhika napo japo bei ni nzuri . Nahofia kuna uwezekano pakawa panajaa maji. Wamenihakikishia kua hakuna kitu hicho ila najua tu ni lugha ya biashara.
Picha hizo ila sikupiga vzuri sana. Picha ya pili hapo karibu na miti ya mwembe ndio eneo lipo.
View attachment 2474502View attachment 2474503
Kitendo Cha yeye kuuliza na namna eneo Hilo lilivyoepukwa na watangulizi wake ni ishara kuwa Kuna shida akiamua kujenga ataishi huku akijilaumuNaungana na wewe, maji yanayotoka kwa jirani kule yote yanaishia apo kwako.
Uzuri wake Elnino ipo mlangoni. Kwa hiyo atapata majawabu ya maswali yake yote.Mvua ikinyesha kubwa nenda ukapatembelee
nenda katembelee mkuu, wakati sahihi wa majibu ndo huuHabari! Kuna eneo nmeoneshwa na rafiki angu bei nzuri kdogo. Sina uzoefu na ujenzi (sijawah kujenga).
Baada ya kupaona kama sijaridhika napo japo bei ni nzuri . Nahofia kuna uwezekano pakawa panajaa maji. Wamenihakikishia kua hakuna kitu hicho ila najua tu ni lugha ya biashara.
Picha hizo ila sikupiga vzuri sana. Picha ya pili hapo karibu na miti ya mwembe ndio eneo lipo.
View attachment 2474502View attachment 2474503
Hahaaa kweli kabisa ,,nenda katembelee mkuu, wakati sahihi wa majibu ndo huu
Mvua ni kali sanaHahaaa kweli kabisa ,,
Na ndio yenye majibu sahihiMvua ni kali sana