decomm
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 726
- 666
Mimi nitashauri kama anatumia Canon angenunua Canon zile ulizokuwa unauza kama ile Canon 400D uliyoiuza na lens zake kwani kwa ile bei ni afadhali aingenunua hiyo kuliko Point and Shoot ambazo bei yake ni karibu na hiyo .Nimeona huku uswahilini wengi hutumia Point and Shoot hasa kwa ajili ya kupiga passport size photos na pia hununua zile printer zake kama za pixer kwa laki 200000 na kitambaa .Nafikiri anaweza anzia hapo na akaendelea kidogo kidogo.
...laki 200000... = 20,000,000,000