Msaada wa mawazo juu ya biashara ya photo studio & photo printing services

Msaada wa mawazo juu ya biashara ya photo studio & photo printing services

Nunua printer aina ya Epson l800 inauzwa laki 9 ukiweka wino wa sh 30000 unaweza kuprint picha 8000 binge la faida hapo baba
 
Nunua printer aina ya Epson l800 inauzwa laki 9 ukiweka wino wa sh 30000 unaweza kuprint picha 8000 binge la faida hapo baba

lakini inategemea na biashara eneo ilipo nafikiri...na vipi hizo printer ni bora kununua hapa bongo au bora kuagiza nje uzoefu wako tafadhali
 
lakini inategemea na biashara eneo ilipo nafikiri...na vipi hizo printer ni bora kununua hapa bongo au bora kuagiza nje uzoefu wako tafadhali
Mimi ninayo nimetumia mwaka sasa haija wahi kusumbua na hela niliyo nunulia ilisha rudi
 
Mimi ninayo nimetumia mwaka sasa haija wahi kusumbua na hela niliyo nunulia ilisha rudi

sawa ndugu so huo mchanganuo wa pesa kurudi unajumuisha na kodi ya sehemu ya biashara plus gharama ya kulipa wafanyakazi? unatumia camera gani kupiga picha if you dont mind unaweza kushare experience nilikua na wazo la kufanya hiyo biashara ila sina uzoefu nayo
 
Wejamaa kwan we we uko wapi sijui eneo labiashara unalipa shingap sasa ukiniambia nikuchanganulie hapo utakuwa unakosea piga hesab mwenyewe minime kwambia nunu hiyo printer ukijaza wino wa 30000 inatoa picha hizo had I0000 kama in a3 sasa wewe cocotoa faida hapo to a hela yapango na yawafanyakaz angalia faida yako sawa
 
Nawatakia pasaka njemaaa....!
Naomba ushauli nataka kufungua photo studio ya kawaida kabisa sasa sijuinianzie wapi na sijui vifaa vyakevina ghalimu pesa ngapi naomba msaada wa mawazo na akili iliniweza kufanikisha hilo.asanteni
Uwe na location, mpigaji picha mzoefu,PC,Printer,Camera,Background,Stands,Flash,accessories.
 
mkuu kalaghabaho kwa sasa zimeisha izo mark 2 na 3 ni mwezi tuu ntakuanazo ni pm namba yako zikifika tuwasiliane..
 
Nina Uzoefu Wa Hizo Kazi 3 Yearz
Tools Zinazohitajika
1. Camera {kwa uzoefu wangu Tafuta Canon Eos 7D, au 5D Au DSLR YOYOTE. Hapa Utapata Picha Yenye Autofocus Kubwa Na Clear}

2. Utahitaji Photo Printer {Kama Huko Vizur Chukua Kubwa Za 30M Lakin Pia Utahitaji Printer Ndogo Kwa Ajil Ya Express Services! Au Ndogo Za Epson L800! Hiz Ni Econom Hazitumii wino mwingi! Na Pia Ni Ngumu}

3. Studio Lighting Tool
Kwa Indoor Hapa Utahitaji Taa Za Studio Kawaida Auto Ambazo zinadetect Mwanga Zenyewe! Utahitaji Reflector Kwa Classic Photograph Hii Itatumika Hata Outdoor! Pia Utahitaji Umbrella Photo Lighting Kwa Indoor Shots. External Flash! Kwa Ajil Ya Kukupa Mwanza Safi Katika Outdoor Shot. Usisahau Background. Ingawaje PS imerahisisha Now Days

4. Photo Editing Software
Kwa Ulimwengu Wa Sasa Editing Software Ni Kitu Cha Muhimu Hapa Napendekeza Adobe Photoshop CS5! Photoshine! Na Photoscape.

4. Photo Materials
Hapa Namaanisha Photo Frame! Bahasha! Mikasi! Make Up Tools!

5. Storage Devices
Kila Kaz Unayofanya Lazima Uhifadh! Ingawaje Utakuwa Na Editing Computer Usisahau Kutenga External Hard Disk Za 1TB Kwa Usalama zaid wa Kumbukumbu za wateja.

6. Scanner
Hii Ni Kitu Muhimu Sana Na Pesa Ipo Hapa Kwan Watu Weng Wanakuja Na Picha Zao Za Zaman Kutaka Zitolewe Upya! Nying Za Marehemu.

Vipo Ving Mkuu Ila Kama Utahitaji Mpiga Picha Nipo Hapa Mkuu Sina Dili!!
0786143441
 
Nina Uzoefu Wa Hizo Kazi 3 Yearz
Tools Zinazohitajika
1. Camera {kwa uzoefu wangu Tafuta Canon Eos 7D, au 5D Au DSLR YOYOTE. Hapa Utapata Picha Yenye Autofocus Kubwa Na Clear}

2. Utahitaji Photo Printer {Kama Huko Vizur Chukua Kubwa Za 30M Lakin Pia Utahitaji Printer Ndogo Kwa Ajil Ya Express Services! Au Ndogo Za Epson L800! Hiz Ni Econom Hazitumii wino mwingi! Na Pia Ni Ngumu}

3. Studio Lighting Tool
Kwa Indoor Hapa Utahitaji Taa Za Studio Kawaida Auto Ambazo zinadetect Mwanga Zenyewe! Utahitaji Reflector Kwa Classic Photograph Hii Itatumika Hata Outdoor! Pia Utahitaji Umbrella Photo Lighting Kwa Indoor Shots. External Flash! Kwa Ajil Ya Kukupa Mwanza Safi Katika Outdoor Shot. Usisahau Background. Ingawaje PS imerahisisha Now Days

4. Photo Editing Software
Kwa Ulimwengu Wa Sasa Editing Software Ni Kitu Cha Muhimu Hapa Napendekeza Adobe Photoshop CS5! Photoshine! Na Photoscape.

4. Photo Materials
Hapa Namaanisha Photo Frame! Bahasha! Mikasi! Make Up Tools!

5. Storage Devices
Kila Kaz Unayofanya Lazima Uhifadh! Ingawaje Utakuwa Na Editing Computer Usisahau Kutenga External Hard Disk Za 1TB Kwa Usalama zaid wa Kumbukumbu za wateja.

6. Scanner
Hii Ni Kitu Muhimu Sana Na Pesa Ipo Hapa Kwan Watu Weng Wanakuja Na Picha Zao Za Zaman Kutaka Zitolewe Upya! Nying Za Marehemu.

Vipo Ving Mkuu Ila Kama Utahitaji Mpiga Picha Nipo Hapa Mkuu Sina Dili!!
0786143441
Vifaa vyote hivyo vinafikia bei gani kwa makadilio yako?
 
Kama Ukitumia Printer Ndogo Za L800 Tenga 7.5M ! Kama Utataka Printer Kubwa Andaa 30M + 7.5M kwa Mchanganuo Ufuatao;

1. CAMERA CANON EOS 7D Tsh 2.5M

2. PRINTER L800 Tsh laki 8 * 2 = 1.6 M

3. LIGHTING TOOLS full Package Ya Sony Lighting Set Yenye Taa + Reflector + Stand + Umbrella! Inaenda Tsh 1.2M

4. COMPUTER Naweza Weka Tsh 350K Ila Hutegemea Na Mahitaj Yako

5. STORAGE DEVICE ukipata External Ya 1TB Itatosha Hapa Naweka 150k

6. SCANNER hapa Naweka 200k Ila Pia Hutegemea

7. SOFTWARES hapa Naweka 30k Ya Bundle Tu Na Download Zote.

Hivyo Hapo Mkuu Mwanapropaganda
 
Kama Ukitumia Printer Ndogo Za L800 Tenga 7.5M ! Kama Utataka Printer Kubwa Andaa 30M + 7.5M kwa Mchanganuo Ufuatao;

1. CAMERA CANON EOS 7D Tsh 2.5M

2. PRINTER L800 Tsh laki 8 * 2 = 1.6 M

3. LIGHTING TOOLS full Package Ya Sony Lighting Set Yenye Taa + Reflector + Stand + Umbrella! Inaenda Tsh 1.2M

4. COMPUTER Naweza Weka Tsh 350K Ila Hutegemea Na Mahitaj Yako

5. STORAGE DEVICE ukipata External Ya 1TB Itatosha Hapa Naweka 150k

6. SCANNER hapa Naweka 200k Ila Pia Hutegemea

7. SOFTWARES hapa Naweka 30k Ya Bundle Tu Na Download Zote.

Hivyo Hapo Mkuu Mwanapropaganda
Mkuu hapo paragraph ya kwanza ni milioni saba au laki saba?
 
Back
Top Bottom