Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona husemi wanatoka wapi au Taasisi gani?, hizo mambo ya "riba ndogo sana, mtakuja kuleta mabandiko humu riba imechange juu kwa juu mnaomba ushauri...Habari za muda huu wadau, hapa kazini kwetu kuna watu wamekuja wanataka kutupa mikopo kwa riba ndogo sana kiasi kwamba kwa mshahara wangu ninaweza kupata mpaka million 50 kwa miaka mitano.Sasa naombeni msaada wa mawazo jinsi ya kutumia hizo million 50 kwa faida. Sina gari wala nyumba
Utapigwa na kitu kizito. Jiulize maswali haya kwanza.:-Kwann mkuu?
Sasa si baada ya miaka mi5 mkopo unaisha lakin yeye atabak na nyumba yakePesa ya kodi ndio hiyo atakayokuwa anayokatwa kwemye mshahara kwa ajili ya mkopo aliochukua.
So utaona kwamba ukijenga na ukipanga ni kama vitu vinaendana hivi na tofauti ni ndogo sana.
Mmmh! Huu ushauri unafikirisha. Akinunua shamba na kulirasimisha say jumla ni 15m atabaki na 35m. Ataliendeleza au? Halafu aende bank na Hati (Title deed) akakope tena pesa ndefu? Mbona naona kama ni duplication ya madeni? Ukizingatia Hana wazo au hajasema kama anakusudia kuufanyia nini huo Mkopo wa Kwanza.Brother chukua hiyo hela nenda sehemu ambayo haijachangamka kama kiwangwa ama chanika..nunua shamba kwa say 10m, lirasimishe kisha chukua hati peleka bank, vuta pesa ndefu, fanya maisha siku moja utaniahukuru.
Nyumba ya kupanga huwezi iuza siku ukikwama,Wala huwezi iwekea dhamana,chako ni chako no matter how,na Hiyo ndo kazi ya huo mkopo.Pesa ya kodi ndio hiyo atakayokuwa anayokatwa kwemye mshahara kwa ajili ya mkopo aliochukua.
So utaona kwamba ukijenga na ukipanga ni kama vitu vinaendana hivi na tofauti ni ndogo sana.
Asisahau fungu la 10kila la kheri usisahau kuleta mrejesho
Amasema yupo Dar. Hapo anatakiwa yeye akabe na Uber, Bolt. Alaf bajaj awakabidhi wadogo zake au ndugu zake awe anawalipa kwa siku, week au mwezi.UBer yenyewe inategemea na yeye yuko mkoa gani?
Bajaj za kuwakabidhi vijana bado anaongeza risk kubwa na wakati huo mtaji wenyewe bado ni risk
Kwanini asichukue mkuuUsichukue
Unataka umpeleke uwanja wa fisi akalale na ile mishugamami alaf asubuhi yake aamke hana hata ndala wala suruali ya kuvaa 🤣🤣🤣Chukua uje nikuonyeshe machimbo ya kutoboa
Hakuna mafanyakazi mwenye uwezo wa kukopa 50M hajui cha kufanya,iwe serikalini ama privateHabari za muda huu wadau, hapa kazini kwetu kuna watu wamekuja wanataka kutupa mikopo kwa riba ndogo sana kiasi kwamba kwa mshahara wangu ninaweza kupata mpaka million 50 kwa miaka mitano.
Sasa naombeni msaada wa mawazo jinsi ya kutumia hizo million 50 kwa faida.
Sina gari wala nyumba
Shelf moja ya kuwekea nini?Chukua kisha jenga nyumba kwa 35millions ambayo itakua na shelf 1, bed room 1, washroom 1, dining, seating, kitchen na utaweka uzio.
Baada ya hapo tafuta Suzuki Jimmy ya 15millions.
Na maisha yatakua poa tu kwasababu utakua umeachana na malipo ya kodi na usaafiri wako utakua unakula mafuta kidogo na utafurahia maisha huku ukibaki na mshahara wa kula na bills.