Msaada wa mawazo kuhusu pesa za mkopo

Msaada wa mawazo kuhusu pesa za mkopo

Brother chukua hiyo hela nenda sehemu ambayo haijachangamka kama kiwangwa ama chanika..nunua shamba kwa say 10m, lirasimishe kisha chukua hati peleka bank, vuta pesa ndefu, fanya maisha siku moja utaniahukuru.
Siyo rahisi hivyo kuchukulia mkopo kwa dhamana ya shamba..
 
Hukua na mpango wa kukopa , hujui kwanini ukope ,USIKOPE mil 50 kwa kutegemea ushauri kutoka humu
 
Huo mkopo usijaribu kununua hivyo vitu ambavyo umesema huna…

Nyumba kujenga usifanye mchezo labda kibanda cha chumba kimoja..!

Gari ndio usijaribu labda la biashara ulifanye Uber au bajaji japo sikushauri km huna ABC kuhusu biashara hiyo..!
 
Chukua Mil 50 ununue bajaji 2 na gari aina ya IST 1 ufanye biashara ya usafiri ikiwemo uber, bolt nk.

Baada ya miaka 3 tu, utakuwa ushamaliza deni na biashara yako inaendelea kama kawa.

Chukua Mil 50 ununue bajaji 2 na gari aina ya IST 1 ufanye biashara ya usafiri ikiwemo uber, bolt nk.

Baada ya miaka 3 tu, utakuwa ushamaliza deni na biashara yako inaendelea kama kawa.
lakini si unajua barabara zetu bongo hiyo kununua bajaji na Ist tena kwa pesa ya mkopo mbona risk sana maana barabarani akila mzinga wa ajali maana bararani huendeshi peke yako ww unaweza kuwa makini na nidhamu ila wenzio sasa kila mtu na umakini wake pesa ya mkopo Haifai kuwekeza bararani labda uwe na back up.
 
ukiona unapata mkopo mkubwa halafu riba ni nafuu sana just jitafari sana kuna kitu kinakuwa hakipo sawa hapo
kweli kabisa riba ikiwa ndogo maana yake hata rejesho la mkopo pia ni dogo hivyo makato ni miaka mingi mfano million 50 baada ya miaka 5 unarudisha hata million 85 au zaidi wakopeshaji wajanja wao wanacheza na mda wa miaka ya kurudisha mkopo wanakata rejesho dogo kwa riba kidogo kwa miaka mingi mwisho mkopaji unarudisha mara tatu ya hela uliyokopa.!
 
kweli kabisa riba ikiwa ndogo maana yake hata rejesho la mkopo pia ni dogo hivyo makato ni miaka mingi mfano million 50 baada ya miaka 5 unarudisha hata million 85 au zaidi wakopeshaji wajanja wao wanacheza na mda wa miaka ya kurudisha mkopo wanakata rejesho dogo kwa riba kidogo kwa miaka mingi mwisho mkopaji unarudisha mara tatu ya hela uliyokopa.!
mwana inabidi akae chini na kutafakari sana
 
lakini si unajua barabara zetu bongo hiyo kununua bajaji na Ist tena kwa pesa ya mkopo mbona risk sana maana barabarani akila mzinga wa ajali maana bararani huendeshi peke yako ww unaweza kuwa makini na nidhamu ila wenzio sasa kila mtu na umakini wake pesa ya mkopo Haifai kuwekeza bararani labda uwe na back up.
Mfano wako ni mzuri na ulichoandika kinaweza kutokea anytimes kutokana na majanga ya barabara zetu. Ila tukiachana na mambo ya ajali, hiyo ya kununua chombo cha usafiri ingeweza kumsaidia kurudisha mkopo wake kwa muda mfupi ukilinganisha sijui na hayo maswala ya kununua nyumba nk.

Kuwa na nyumba ya chini ya Mil 50 ambayo itaweza kukurudishia hata Mil 20 tu katika kipindi cha miaka mi5 sio easy mkuu. Sasa mwamba anahitajika arudishe Mil 50 kwa muda huo.
 
Brother chukua hiyo hela nenda sehemu ambayo haijachangamka kama kiwangwa ama chanika..nunua shamba kwa say 10m, lirasimishe kisha chukua hati peleka bank, vuta pesa ndefu, fanya maisha siku moja utaniahukuru.
Sasa hapo si anakuwa na mikopo miwili mkuu...?
 
Pesa ya kodi ndio hiyo atakayokuwa anayokatwa kwemye mshahara kwa ajili ya mkopo aliochukua.

So utaona kwamba ukijenga na ukipanga ni kama vitu vinaendana hivi na tofauti ni ndogo
Kumbuka baada ya miaka mitano atakuwa na nyumba yake na makato hayatokuwepo na thamani ya nyumba itakuwa imepanda ila akiendelea kulipa kedi kwa kupanga baada ya miaka mitano familia atakuwa nayo na ataitaji alıpe kedi zaidi
 
Back
Top Bottom