Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 376
- 127
Nina 5,500,000 tu. Kiwanja ninacho.
Sitaki tena kulipa Kodi mie. Nitafanikiwa kweli vyumba vitatu vya kulala na sebule?
Vitatu Kwa Sababu Nina watoto wa kiume na kike. Au nijenge kibanda cha aina gani?
Maisha is not fair
Sitaki tena kulipa Kodi mie. Nitafanikiwa kweli vyumba vitatu vya kulala na sebule?
Vitatu Kwa Sababu Nina watoto wa kiume na kike. Au nijenge kibanda cha aina gani?
Maisha is not fair