5.5 ni hela lakini ni kiwango kidogo sana kwa ujenzi wa nymba ya vymba vitatu. ningekushauri fanya yafuatayo
1. tafuta ramani ya nymba unayoitaka. fanya juu chini upate mchanganuo wa garama za ujenzi ( BOQ)- hii itakusaidia kupangilia ujenzi wako ki phace au awamu
2. kutokana na pesa yako kuwa ndogo unaweza jenga msingi wa nyumba nzima bt ukaamua kupandisha sehemu ya nyumba labda vymba viwili tu. ukaishi humo huku ukikusanya nguvu ya kumalizia nyumba zima.
3. ukishapata mchanganuo wa idadi ya material yanayohitajika kulingana na phase unayotaka kujenga nenda hardware lipia material km cement, tofali, bati n.k chukua risiti ukishapata material kulingana na phase unayotaka kujenga mtafute fundi jenga kwa awamu