Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mwagilia moyo kwanza, hebu upongeze moyo please, Duniani ni wapitaji achana na habari za kujenga njianiNina 5,500,000 tu. Kiwanja ninacho.
Sitaki tena kulipa Kodi mie. Nitafanikiwa kweli vyumba vitatu vya kulala na sebule?
Vitatu Kwa Sababu Nina watoto wa kiume na kike. Au nijenge kibanda cha aina gani?
Maisha is not fair