J putin
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,263
- 1,206
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faida yake inakuwaje kwa lita (petrol,diesel,mafuta ya taa)Chief naomba unipe kazi ya kukutafutia na kukuletea uchambuzi mzima juu ya biashara hii. Nitakuchambulia risk, faida, hasara, mtaji na eneo zuri kwa biashara.
Malipo yangu yatakua kidogo tu.
MNAHARIBU THREAD YAKENa mimi nikitaka kufungua cocacola naanzaje?[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
I think ni milioni 800 kwa kila kituo.
Tuombe uzima tu mkuu hakuna linaloshindikana chini ya juaI think ni milioni 800 kwa kila kituo.
Mkuu nikumbuke hata kibarua ukifanikisha ndoto yako hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila ujensi...
One B???? Acha fix jombaa
nadhan comment zilizo fuata umekutana na na 1.5 bil.. na hata mhusika amejiandaa kwa mil 800One B???? Acha fix jombaa
Sijakuelewa mimiOK mi nimekueelewa kwa kuwa hii mada ipo kwenye jukwaa la mahusiano MMU. Sheli iko barabarani = changu, wapo wengi tu mkuu pesa yako. Petroli/Mafuta ya taa/Dizeli = Tigo & Voda na chumvini, wanakubali tu mkuu pesa yako unakamilishiwa yote hayo. kuhusu milioni wala hawahitaji we nenda na buku 20 utakula mtoto msafii wa masaki.
Vibali vya serikali tu, andaa 50MPoleni kwa utafutaji+mapenzi
Naomba kujua ukitaka kufungua sheli (petroli,mafuta ya taa na dizel)
Niwe na milioni ngapi,kama kianzio
2019 nataka kupanua biashara
Ni hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari naomba anayefahamu hizo taratibu anisaidie asanteni.
Shukurani nduguNenda EWURA.. Hao ndiyo watakupa taratibu zote...
a) EWURA
b) NEMC
c) Hapa nimesahau kidogo, lakini lazima upite kwenye hii mikono mitatu,
Mkuu installation ,equipment na vibali zitakuta sichini ya 130mShukurani ndugu
Miongoni mwa documents muhimu kwa ajili ya kuomba vibali, especially kama utaweka katika Road Reserve hii sheli; ni Michoro sahihi.Habari naomba anayefahamu hizo taratibu anisaidie asanteni.
Miongoni mwa documents muhimu kwa ajili ya kuomba vibali, especially kama utaweka katika Road Reserve hii sheli; ni Michoro sahihi.
Tuungishane tukuandalie michoro!