Ahsante sana Dr Mambo Jambo kwa msaada wako mkubwa bila kusita nimeamini kweli maneno ya mtu flani rafiki yangu mkristo ameniambia wewe una shida? ingia jamii forum utapata jibu hata dakika5 hazipiti waislam mna umoja na kupendana sana.Ameniambia muislam anaweza nunua ugomvi wa kidini mahali anaona muislam mwenzake anadhulumiwa hasa issue ya kidini na hiyo ni kweli
Umenipa ratiba ni ya Africa Mashariki hebu tuchukulie mtu aliyeko Lamu Kenya au Zanzibar halafu tumchukulie mtu aliyeko Kigoma.
Mimi hapa nilipo saa 12.39 ambapo ni tarehe ya leo kufuturu jua bado unaliona tena linawaka kwa nguvu bado kweli nitaweza kukaa na kufuturu? nitaona aibu.
Ndio maana nikaomba ya Shinyanga.Ila yako ni msaada wangu mkubwa hasa wakati wa daku ahsante tena MUNGU akujazie zaidi