NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
- Thread starter
- #21
mbona umetoa kipande kuanzia 29 march
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona umetoa kipande kuanzia 29 march
Sasa huyo mwarabu umemuweka hapo kwa nini🙂Kichwa cha habari chahusika naomba mwenye ratiba ya mwezi mzima ya muda wa kufuturu na kula daku alfajir kwa kanda hii ya Shinyanga.
Nafanya kazi ya uchimbaji porini huku hakuna kanisa wala msikiti hakuna hata adhana.
View attachment 2936998
Numbisa hatuabudu Jua na mwezi.Nikupe mfano hivi unajua Kalenda hii tunayotumia inaitwa kalenda ya Gregory imeasisiwa na papa Gregory na ndio inatumiwa karibu na dunia nzima na inatumia mzunguko wa dunia inavyolizunguka Jua? unaweza sema wakristo wa dunia nzima wanaabudu Jua?.
Kalenda ya Kislam yenyewe inafuata mzunguko wa mwezi haiamanishi waislam wanaabudu mwezi.
Na kwa taarifa yako kalenda ya kislam ndio kalenda sahihi zaidi kuliko kalenda zote na ndio maana kwenye uslam tarehe za idi au kufunga sio constant sababu zinakwenda sawia lakini kwa kalenda ya Gregory kuna mahali wanafanya marekebisho kuweka mambo sawa mfano mzuri pale mwaka mrefu unapokuwa na siku 29 mwezi wa pili ili kufidia ile robo ya dunia kuwa inazunguka jua kwa siku 365 na robo sasa hiyo robo ndio wanazidisha mara nne inakuwa kitu kizima ndio maana miaka yote inayogawanyika kwa nne ndio wanaongeza siku moja ya 29 mwezi wa pili.
Pia miaka yote yenye 00 mwishoni mfano 1800,1900 japo inagawanyika kwa 4 lakini haina miaka mirefu illa sharti mwaka kama una 00 mfano ilivyokuwa 2000 sharti ugawanyike kwa 400 ndio utakuwa mwaka mrefu na ndio maana mwaka 2000 ukawa mwaka mrefu.
Mahesabu yote haya yamewekwa ili dunia isipoteza majira yake.
Nimejaribu tu kueleza haya kuwa hawa watu wa dini hawakufanya haya ajili eti wanaabudu Jua au mwezi
kama ni mkristo huwezi kuelewa.Sasa huyo mwarabu umemuweka hapo kwa nini🙂
Nani alikuambia kuwa mimi ni mkristo?kama ni mkristo huwezi kuelewa...
Ya dar es salaam hiyo hapo
Hapana masaa Hutolewa kama Average maana yake ni Range tu sio exact time..Ya dar es salaam hiyo hapo
....je hiyo yako Unauhakika l ni kwa shinyanga?
Ikifika saa moja wewe futuru… nyie hamna saa au hamjui kusoma saa?Huku Mpanda ukisubiri jua kuzama utashangaa saa 1.30 usiku
Halafu ukiangalia hiyo calender unagundua kuwa avarage ya kufuturu ni saa moja usiku basi kwa hiyo si lazima kusubiri jua ku set….! Halafu hii imekuwa kiu ya kula sio ibadaHuwa hamkubali ukweli lakini ndio hivyo mnasubiria mwezi upotee na kurudi mjue kuna kufunga au lah na idd lazima mwezi uonekane. Kula futari lazima jua lizame.
Hio kalenda ya Gregory inafatwa na watu wote duniani sio wakristo pekee. Maisha yako yote yanaendeshwa na hio kalenda ndo maana tarehe inasomeka march 18 ,2024 na sio vinginevyo.
Huko pengine mnadanganyana jua linazama kwenye matope
Siku zote nilikuwa nakuheshimu sana nimegundua kumbe busara sifuriHuwa hamkubali ukweli lakini ndio hivyo mnasubiria mwezi upotee na kurudi mjue kuna kufunga au lah na idd lazima mwezi uonekane. Kula futari lazima jua lizame.
Hio kalenda ya Gregory inafatwa na watu wote duniani sio wakristo pekee. Maisha yako yote yanaendeshwa na hio kalenda ndo maana tarehe inasomeka march 18 ,2024 na sio vinginevyo.
Huko pengine mnadanganyana jua linazama kwenye matope
Siku zote nilikuwa nakuheshimu sana nimegundua kumbe busara sifuri