NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
ahsante bro kwa ushauri ila ukiwa shimoni jua utalionaje? nimesema niko mgodini huko chini ni dunia ingine huwezi kujua usiku wala mchana na hata mvua ikinyesha huwezi jua hata kibla huwezi jua ni wapi ila bahati tunachofanya tunatumia compass kutuongozaWe ukiona jua limezama futuru hapohapo, unasubiri adhana ndio ufuturu?
Ahsante sana Dr Mambo Jambo kwa msaada wako mkubwa bila kusita nimeamini kweli maneno ya mtu flani rafiki yangu mkristo ameniambia wewe una shida? ingia jamii forum utapata jibu hata dakika5 hazipiti waislam mna umoja na kupendana sana.Ameniambia muislam anaweza nunua ugomvi wa kidini mahali anaona muislam mwenzake anadhulumiwa hasa issue ya kidini na hiyo ni kweli
Sasa kuna Nchi za Arctic jua huwa linapotea au halizami kwa miezi kadhaa hapo Muumini si atafariki Dunia?We ukiona jua limezama futuru hapohapo, unasubiri adhana ndio ufuturu?
Safi sana mkuu ila kwa sasa mimi Sina uislamu wala ukristo japo Nimezungukwa na watu hao..Ahsante sana Dr Mambo Jambo kwa msaada wako mkubwa bila kusita nimeamini kweli maneno ya mtu flani rafiki yangu mkristo ameniambia wewe una shida? ingia jamii forum utapata jibu hata dakika5 hazipiti waislam mna umoja na kupendana sana.Ameniambia muislam anaweza nunua ugomvi wa kidini mahali anaona muislam mwenzake anadhulumiwa hasa issue ya kidini na hiyo ni kweli
Umenipa ratiba ni ya Africa Mashariki hebu tuchukulie mtu aliyeko Lamu Kenya au Zanzibar halafu tumchukulie mtu aliyeko Kigoma.
Mimi hapa nilipo saa 12.39 ambapo ni tarehe ya leo kufuturu jua bado unaliona tena linawaka kwa nguvu bado kweli nitaweza kukaa na kufuturu? nitaona aibu.
Ndio maana nikaomba ya Shinyanga.Ila yako ni msaada wangu mkubwa hasa wakati wa daku ahsante tena MUNGU akujazie zaidi
Ndugu yangu fanya kazi zako lakini kama unautaka uisilamu fanya utafute mwalimu akusomeshe baada ya kazi zako,kama ujui muda wa kufungua na kula Daku je utaweza kufahamu jinsi ya kuswali hiwapo utakuwa pekee yako?Kichwa cha habari chahusika naomba mwenye ratiba ya mwezi mzima ya muda wa kufuturu na kula daku alfajir kwa kanda hii ya Shinyanga.
Nafanya kazi ya uchimbaji porini huku hakuna kanisa wala msikiti hakuna hata adhana.
View attachment 2936998
Focus kwenye muda wako wa kufa sio kulaKichwa cha habari chahusika naomba mwenye ratiba ya mwezi mzima ya muda wa kufuturu na kula daku alfajir kwa kanda hii ya Shinyanga.
Nafanya kazi ya uchimbaji porini huku hakuna kanisa wala msikiti hakuna hata adhana.
View attachment 2936998
Uislam ni upole, huruma na kusaidiana.Ndugu yangu fanya kazi zako lakini kama unautaka uisilamu fanya utafute mwalimu akusomeshe baada ya kazi zako,kama ujui muda wa kufungua na kula Daku je utaweza kufahamu jinsi ya kuswali hiwapo utakuwa pekee yako?
Huku Mpanda ukisubiri jua kuzama utashangaa saa 1.30 usikuWe ukiona jua limezama futuru hapohapo, unasubiri adhana ndio ufuturu?
Wala usingetaja kanisa, kanisa na muda wa kufturu inahusiana nini!Kichwa cha habari chahusika naomba mwenye ratiba ya mwezi mzima ya muda wa kufuturu na kula daku alfajir kwa kanda hii ya Shinyanga.
Nafanya kazi ya uchimbaji porini huku hakuna kanisa wala msikiti hakuna hata adhana.
View attachment 2936998
Nimekubali adhma yako, Mungu akufanyie wepesi wa kumwabuduahsante bro kwa ushauri ila ukiwa shimoni jua utalionaje? nimesema niko mgodini huko chini ni dunia ingine huwezi kujua usiku wala mchana na hata mvua ikinyesha huwezi jua hata kibla huwezi jua ni wapi ila bahati tunachofanya tunatumia compass kutuongoza
Kwa taarifa yako mimi ni msomi mzuri sana wa dini nimesoma mwaka1975 sidhani kama ulikuwa umezaliwa au pengine hata wazazi wako walikuwa hawajaoana.Ndugu yangu fanya kazi zako lakini kama unautaka uisilamu fanya utafute mwalimu akusomeshe baada ya kazi zako,kama ujui muda wa kufungua na kula Daku je utaweza kufahamu jinsi ya kuswali hiwapo utakuwa pekee yako?
Numbisa hatuabudu Jua na mwezi.Nikupe mfano hivi unajua Kalenda hii tunayotumia inaitwa kalenda ya Gregory imeasisiwa na papa Gregory na ndio inatumiwa karibu na dunia nzima na inatumia mzunguko wa dunia inavyolizunguka Jua? unaweza sema wakristo wa dunia nzima wanaabudu Jua?.Kumbe mnaabudu jua na mwezi aiseee si muweke muda mmoja tu wa kufuturu yaani saa moja kamili jioni imetosha
Ungejua jua na mwezi angani vipo kwa kazi gani usingeandika huu ujingaKumbe mnaabudu jua na mwezi aiseee si muweke muda mmoja tu wa kufuturu yaani saa moja kamili jioni imetosha