Msaada wa muda wa kufuturu na kula daku kanda ya Shinyaga

Huwa hamkubali ukweli lakini ndio hivyo mnasubiria mwezi upotee na kurudi mjue kuna kufunga au lah na idd lazima mwezi uonekane. Kula futari lazima jua lizame.

Hio kalenda ya Gregory inafatwa na watu wote duniani sio wakristo pekee. Maisha yako yote yanaendeshwa na hio kalenda ndo maana tarehe inasomeka march 18 ,2024 na sio vinginevyo.

Huko pengine mnadanganyana jua linazama kwenye matope
 
Ya dar es salaam hiyo hapo
....je hiyo yako Unauhakika l ni kwa shinyanga?
Hapana masaa Hutolewa kama Average maana yake ni Range tu sio exact time..
Kwa mfano ukiandikiwa Saa 3:45 maana yake Around huo muda..
 
Huku Mpanda ukisubiri jua kuzama utashangaa saa 1.30 usiku
Ikifika saa moja wewe futuru… nyie hamna saa au hamjui kusoma saa?
Maana naona mnabanwa na njaa sana imekuwa siyo ibada bali ni njaa
 
Halafu ukiangalia hiyo calender unagundua kuwa avarage ya kufuturu ni saa moja usiku basi kwa hiyo si lazima kusubiri jua ku set….! Halafu hii imekuwa kiu ya kula sio ibada
 
Siku zote nilikuwa nakuheshimu sana nimegundua kumbe busara sifuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…