Msaada wa namna ya kuendesha biashara ya mgahawa ambao ni Classic, ingawa siyo sana

Msaada wa namna ya kuendesha biashara ya mgahawa ambao ni Classic, ingawa siyo sana

Inategemea na ukubwa na standard ya mgahawa wako
Kuhusu eneo ambalo ni hot

Kama ni mgahawa wa chakula Cha 3000-5000 maeneo ya stand kubwa na maeneo jirani yatakuwa Bora zaidi,

Kama ni migahawa ya Hadhi ya juu
Labda chakula 15000- 90,000 kwa mlo mmoja
Maeneo ya clock tower na maeneo ya jirani yatakuwa Bora zaidi

Kuhusu mtaji siyo fixed
Mfano Mimi nikitaka kufungua mgahawa maeneo ya stand nikiwa na milioni 5-7 itatosha

Ila ikiwa ni maeneo ya clock tower
Mtaji angalau milion 100 na kuendelea
Kwa nini
Kuna vitu vingi mna vya kununua
Mfano
Friza kubwa
Friji za jikoni na za bar
Mashine ya kahawa
Setting na design
Mashine nyinginezo, mfano ice cream machine juicer
Meza za Hadhi ya juu
Majiko makubwa
Salamanda kwa ajili ya kupashia sahani muda wote
Matank Zaid ya moja kwa ajili ya kuhifadhi maji
Microwave
Meza za jikoni
Utengenezaji wa menu na kulipa wafanya kazi
Hasa barista, barman na wapishi
Mishahara Yao Huwa juu kidogo Kati ya 400k -1m+

[emoji120][emoji106]
 
Habari mkuu,
Hongera kwa wazo Bomba kabisa
Wazo Hilo ni mojawapo Kati ya mawazo yangu


Fanya hivi broo,
1, tafuta wafanyakazi wenye Nia ya kufanya kazi, dispiline, na wanaojali kazi
Tengeneza menu Pana (vyakula vya Bei RAHISI na vya Bei ghali pia)
Kuwa tofauti na washindani wako kw promotion za mara kwa mara
Ukiweza weka free wi-fi Ila yenye limit time
Tafuta mpishi anayejua kupika vizuri ili uwe tofauti na wenzio
2:funga CCTV camera kwa ajili ya usalama wa Mali zako na za wateje

3; jua udhaifu wa washindani zako

4 usafi ni jambo ambalo kila mteja atataman kuwa sehemu safi kuanzia
Watu wa service na mazingira kwa ujumla

Wapende wafanya kazi wako hasa kwa kuwapa mishahara kwa wakati
Wajali pia kwa kuwapa offa kila wanapofanya vizuri kwa kufanya hivyo utakuwa karibu nao kila jambo kabla halijatendeka utajulishwa

Tengeneza loyalty card kwa ajili ya wateja wako wa kila mara kupitia loyalty card utawapa offa hasa kahawa, au chai



Ni hayo tu
💪💪💪
Idea ya loyalty card nimeipenda. Nilishawahi kufikiria ila niliita membership card. Mteja wa mara kwa mara anapata zawadi/discount/free service kwa plan ambayo haina hasara kwa mmiliki wa biashara na pia inamotivate Mteja kurudi tena hasa huduma ikiwa yenye ubora.
 
Inategemea na ukubwa na standard ya mgahawa wako
Kuhusu eneo ambalo ni hot

Kama ni mgahawa wa chakula Cha 3000-5000 maeneo ya stand kubwa na maeneo jirani yatakuwa Bora zaidi,

Kama ni migahawa ya Hadhi ya juu
Labda chakula 15000- 90,000 kwa mlo mmoja
Maeneo ya clock tower na maeneo ya jirani yatakuwa Bora zaidi

Kuhusu mtaji siyo fixed
Mfano Mimi nikitaka kufungua mgahawa maeneo ya stand nikiwa na milioni 5-7 itatosha

Ila ikiwa ni maeneo ya clock tower
Mtaji angalau milion 100 na kuendelea
Kwa nini
Kuna vitu vingi mna vya kununua
Mfano
Friza kubwa
Friji za jikoni na za bar
Mashine ya kahawa
Setting na design
Mashine nyinginezo, mfano ice cream machine juicer
Meza za Hadhi ya juu
Majiko makubwa
Salamanda kwa ajili ya kupashia sahani muda wote
Matank Zaid ya moja kwa ajili ya kuhifadhi maji
Microwave
Meza za jikoni
Utengenezaji wa menu na kulipa wafanya kazi
Hasa barista, barman na wapishi
Mishahara Yao Huwa juu kidogo Kati ya 400k -1m+
Asante Ufafanuzi ulioshiba
 
Kitu cha kuzingatia ni segment uliyo itarget kufungua biashara yako..

1. Kama unampango wa kufungua mgahawa eneo la watu wenye income ndogo hakikisha mgahawa wako usiwe wa kupendeza (uwe wa kawaida tu )yaani uwe na viti, meza na vyombo vya kupikia basi, ukizidisha mbwembwe sijui tv, Ac, na matangazo kibao HUWEZI KUTOBOA kwa sababu wateja huogopa kwa kuhisi Kuna bei kubwa.
Vice versa is true

Eneo la watu wenye kipato weka kila kitu cha kupendeza na kuvutia wateja huku ukizingatia bei na ubora wa bidhaa yako pia usisahu kuomba mungu au kuroga.
 
Habari mkuu,
Hongera kwa wazo Bomba kabisa
Wazo Hilo ni mojawapo Kati ya mawazo yangu


Fanya hivi broo,
1, tafuta wafanyakazi wenye Nia ya kufanya kazi, dispiline, na wanaojali kazi
Tengeneza menu Pana (vyakula vya Bei RAHISI na vya Bei ghali pia)
Kuwa tofauti na washindani wako kw promotion za mara kwa mara
Ukiweza weka free wi-fi Ila yenye limit time
Tafuta mpishi anayejua kupika vizuri ili uwe tofauti na wenzio
2:funga CCTV camera kwa ajili ya usalama wa Mali zako na za wateje

3; jua udhaifu wa washindani zako

4 usafi ni jambo ambalo kila mteja atataman kuwa sehemu safi kuanzia
Watu wa service na mazingira kwa ujumla

Wapende wafanya kazi wako hasa kwa kuwapa mishahara kwa wakati
Wajali pia kwa kuwapa offa kila wanapofanya vizuri kwa kufanya hivyo utakuwa karibu nao kila jambo kabla halijatendeka utajulishwa

Tengeneza loyalty card kwa ajili ya wateja wako wa kila mara kupitia loyalty card utawapa offa hasa kahawa, au chai



Ni hayo tu
Well said
 
Back
Top Bottom