Andika message kwa Nabii Mkuu Geodavie akupe hela uko mkoa gani au mtafute Mchungaji Mashimo akuunganishe direct kwake ungejua mapema ungeongozana na wale Mashekh Jumapili iliyopita walipewa laki tano tanoHabari za leo wanajukwaa, poleni na majukumu...
Twende kwenye mada..
Maisha siku za karibuni yameniwia magumu, tafadhali mwenye mbinu za kukabili hali hii anisaidie...biashara ndogo ninayfanya ambayo siku za nyuma ilikuwa ikinitunza sasa imeyumba.. kuna muda naishiwa nguvu nakata tamaa.. naona msongo wa mawazo unaninyemelea, tafadhal mbnu zinahtajka kwa hali na mali..
Natanguliza shukrani..
NB: si mwandish mzur saana.
Sababu za kuyumba kwa biashara yako labda zinaweza kutoa muongozo wa utatuzi wa tatizo lakobiashara ndogo ninayfanya ambayo siku za nyuma ilikuwa ikinitunza sasa imeyumba..
Kweli Akili Unazo!Andika message kwa Nabii Mkuu Geodavie akupe hela uko mkoa gani au mtafute Mchungaji Mashimo akuunganishe direct kwake ungejua mapema ungeongozana na wale Mashekh Jumapili iliyopita walipewa laki tano tano
Sababu za kuyumba kwa biashara yako labda zinaweza kutoa muongozo wa utatuzi wa tatizo lako
Kaka bado sijaoa. nawaza kama ningekua nimeoa sijui ingekuwaje!Hauko peke yako mkuu,hali ya uchumi imebadilika sana,hapo kwenye nini cha kufanya nadhani ni kuangalia tu vipaumbele na kuishi kutokana na kipato ulichonacho...lakini ngoja kwanza mwenza uliyenae sio kichomi?
Sometimes muwe mnaacha utoto kwenye mambo ya msingi sio kila anayekuja hapa anataka kujibiwa upumbavuAndika message kwa Nabii Mkuu Geodavie akupe hela uko mkoa gani au mtafute Mchungaji Mashimo akuunganishe direct kwake ungejua mapema ungeongozana na wale Mashekh Jumapili iliyopita walipewa laki tano tano
Kaka ni vile tu biashara haiendi.. nazungusha maziwa mtaani sku za nyuma mambo yalikuwa yanaenda kiasi lakini sasa... unazungusha lakin wapi... kaz mtaani hakuna... ukifanya wanadhulumu... nipo bukoba.Sababu za kuyumba kwa biashara yako labda zinaweza kutoa muongozo wa utatuzi wa tatizo lako
Brother mbona una matusi sana ..Kuishi Kwa Mama kuna kosa Gani? Mzee siku zote tunashauriwa ukiona ngoma imeshindikana rudisha mpira kwa kipa vinginevyo utapewa ushauri ambao anayekupa huo ushauri hajawahi kufanya hicho kitu zaidi ya kukisoma kwenye mitandao...Sometimes muwe mnaacha utoto kwenye mambo ya msingi sio kila anayekuja hapa anataka kujibiwa upumbavu
Kama hauwezi kutoa ushauri Bora ukapita kimya kimya halafu unakuta watu Kama wewe inaishi kwa mama yako Pumbavu.
Kaka biashara ni kuzungusha maziwa nipo bukoba...biashara ni vile tu haiendi nazungusha maziwa lakini wapi...Kwa jinsi ulivyo andika hakuna mtu anaweza kukupa ushauri wa maana. Kwa sababu hujaeleza uko wapi, unafanya biashara gani na changamoto zipi ambazo unakumbana nazo hadi kusababisha biashara kuwa ngumu.
Sema huna tu namna ya kumsaidia Mkuu usipindishe maelezo,km ni namna ya utafutaji ziko nying na zinapatikana kila mahaliKwa jinsi ulivyo andika hakuna mtu anaweza kukupa ushauri wa maana. Kwa sababu hujaeleza uko wapi, unafanya biashara gani na changamoto zipi ambazo unakumbana nazo hadi kusababisha biashara kuwa ngumu.
Pambana mwanzo mwisho kijana! Wanaume tumeumbiwa mateso. Hivyo hakuna kukata tamaa. Hela mtaani kwa sasa imekosa kabisa thamani kutokana na mfumuko wa kutisha wa bei kwenye bidhaa muhimu.Kaka bado sijaoa. nawaza kama ningekua nimeoa sijui ingekuwaje!
Mmmh 🤔🤔Sina ujuzi wowote japo nilifka form 6 ila sikumaliza kutokana na changamoto za kiafya.