Dr Alfonsi
Member
- Jun 16, 2023
- 36
- 72
Hiyo ni dalili mbaya ya kufeli maisha 🤣🤣 jokes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari ndugu jamaa na Marafiki,
Mimi ni kijana wa miaka 29. Nimehitimu elimu ya chuo tangu mwaka 2019, lakini nimekuwa na hari ya kutokewa na ndoto ya aina moja mara kwa mara, wakati mwingine inatokea usiku mara mbili mpaka mara tatu.
Ndoto yenyewe ni kuota niko chuoni bado nasoma na mara nyingi naota nikiwa najiandaaa kwenda kwenye chumba cha mtihani , na kibaya zaidi ninakuwa sijasoma kabra ya mtihani , sasa hofu yake inakuwa ni kubwa sana.
Wakati mwingine ninakuwa katika chumba cha mtihan lakni kinachonishangaza ni kwamba huo mtihani huwa sianzi kuufanya huwa tu kwenye mazingira ya mtihan ila kuunza kufanya ndo hamna nastuka natetemeka sjasoma.
Kama kuna mtaalamu wa kiroho au mjuzi wa kutafsiri ndoto naomba anipe mwanga kidogo maana hii ndoto inanitesa sana.
Naomba kusasilisha[emoji120][emoji120]
Dah sawa mkuu, tunapeana moyo maana wanasema tatizo ukiambia watu ni nusu ya kulitatua.Ndoto ya kawaida tu mkuu usiogope endelea na maisha yako, wanaokwambia sijui umerogwa ni wana imani potofu tu...! Na we ukiiingia kwenye huo mtego itakula kwako, ndoto ya aina hiyo inaotwa na watu wengi sana duniani kote, kwa hiyo watu wote hao wanakua wamerogwa???
Nikajua labda n kwangu tu kama hvyo basi nimeanza kupata amanHakuna asiyeota hiyo ndoto. Hakuna jipya
Ahsante mkuuPole
Shukran sana, ngoja niwafuatilie mkuu.dreams can act as overnight therapy, a night shift designed to help us process difficult emotions.
Wasome hawa watu anaitwa allan hobson, william domhoff, rosalind cartwright,
Ndoto ya kawaida tu mkuu usiogope endelea na maisha yako, wanaokwambia sijui umerogwa ni wana imani potofu tu...! Na we ukiiingia kwenye huo mtego itakula kwako, ndoto ya aina hiyo inaotwa na watu wengi sana duniani kote, kwa hiyo watu wote hao wanakua wamerogwa???
Kwa hiyo unashauri afanye nini?Hapo kiroho uko nyuma..yani kimwili unaishi miaka ya sasa..ila kiroho kuna vitu vinakurudisha nyuma ..ukipuuza ni utapigika life yako yote
Hahhaa dah mkuu.Mzee unasumbuliwa na stress za kukosa ajira inayoeleweka... Hujarogwa huna shida yoyote... Kunywa bia maisha yaendelee
Nitajaribu pia na hii boss.Nashauri uhame pia unapokaa
Dah hapa ushauri wako nifanyeje bossHapo kiroho uko nyuma..yani kimwili unaishi miaka ya sasa..ila kiroho kuna vitu vinakurudisha nyuma ..ukipuuza ni utapigika life yako yote
Hii uhakika Sana mazee ..Nitajaribu pia na hii boss.
Ahsnte sana aise, ngoja nijaribu leo leo tu maana ndoto ishakuwa kero hii.Hii uhakika Sana mazee ..
Ukitaka kujaribu kalale hata lodge ya jirani na hapo uone kama utaota hizo ndoto...asijue mtu hata mmoja unaenda kulala wapi...hata mkeo...
Jaribu Kama mara 2 utaniambia
Tafuta manabii au wagangaDah hapa ushauri wako nifanyeje boss