Kote mkuu ngoma ipo juu,Hizo shule majina makubwa na Ada ndefu saana. Inshort Kwa Ada
msihangaike na hizo kubwa kubwa zinazojulikana, kuna shule zipo hata za 1M kwa mwaka ila unakuta hazijulikani sana au ni mpyaKote mkuu ngoma ipo juu,
Mimi shule za mikoani nzuri ninazojua hakuna ya chini ya 3M
Mkuu Shule ya 1M ya Boarding na inafaulisha vzr?msihangaike na hizo kubwa kubwa zinazojulikana, kuna shule zipo hata za 1M kwa mwaka ila unakuta hazijulikani sana au ni mpya
tataizo linaanzia hapainafaulisha vzr?
Asante, Nyingi zao zikishapat Jina kila mwakwa mzigo unapanda, hivyo mzazi ukianza na 1M jipange kwa mabadiliko.tataizo linaanzia hapa
hakuna shule inayofaulisha
ni kwamba wanachuja wanafunzi kwenye interview wanachukua walioofaulu kuliko wote
kwahiyo kama mtoto wako hana historia ya kufaulu primary, kupata shule za 'kufaulisha' ni ngumu sana
nimesoma kwenye moja ya hizo shule, kila mwanafunzi ni top 5, 10 wa primary aliyotoka
Kama ni muislam mpeleke Ibnu jazarWadau January ndiyo hiyo na interview za form 1 zimeanza. Naomba mwenye kujua school fees za:
1. BAOBAB
2. MARIAN
3. HAMES
Na kama una pendekezo la shule yenye schoo fees rafiki isiyozidi 2M kwa mwaka please tujuzane.
Au ushauri wowote kuhusu shule za Form 1
Boabab form 1 hadi 4.46mWadau January ndiyo hiyo na interview za form 1 zimeanza. Naomba mwenye kujua school fees za:
1. BAOBAB
2. MARIAN
3. HAMES
Na kama una pendekezo la shule yenye schoo fees rafiki isiyozidi 2M kwa mwaka please tujuzane.
Au ushauri wowote kuhusu shule za Form 1
St. Monica...?Boabab form 1 hadi 4.46m
Hames 4.3m
Marian 3.8m
Shule gani hizo mkuu? Majina?msihangaike na hizo kubwa kubwa zinazojulikana, kuna shule zipo hata za 1M kwa mwaka ila unakuta hazijulikani sana au ni mpya
St. Mary's Ulete, ipo chini ya Kanisa Katoliki, jimbo la Iringa.Wadau January ndiyo hiyo na interview za form 1 zimeanza. Naomba mwenye kujua school fees za:
1. BAOBAB
2. MARIAN
3. HAMES
Na kama una pendekezo la shule yenye schoo fees rafiki isiyozidi 2M kwa mwaka please tujuzane.
Au ushauri wowote kuhusu shule za Form 1
Ok!St. Mary's Ulete, ipo chini ya Kanisa Katoliki, jimbo la Iringa.
Ada mwaka jana ilikuwa 1.5M, ni shule nzuri. Kaangalie matokeo yake kujiridhisha zaidi.
hazifahamiki, ila jaribu kuuliziaShule gani hizo mkuu? Majina?
You can't be serious!hazifahamiki, ila jaribu kuulizia