Msaada wa tafsiri ya ndoto ya kurudi shule mara kwa mara

Msaada wa tafsiri ya ndoto ya kurudi shule mara kwa mara

Woote nyie humu ndani??? hakuna anaye ota Mbususu wkt mnazo????
 
Habari Wana Jamiforums natumani mko poa kabisa.

Kuna ndoto moja ina inanitesa Sana nimeona bora leo nilielezee hapa jukwaani angalau niweze kupata ufafanuzi kidogo kuhusiana na ndoto hii ninayo ota ikijirudia Mara kwa Mara kila Napo lala usiku.

Nimuda Sasa yapata Kama miaka Saba tangu nihitimu elimu ya sekondari lakini licha ya muda mrefu kidogo kupita tangu nimemaliza kidato Cha nne nimekua nikiota ndoto zikionesha kuwa nimerudi shule nasoma pia mazingira ya shule ni yale yale walimu wanafunzi wenzangu pia niliosoma nao ni wale wale.

Kiufupi naota ndoto hii imekua ikijirudia Sana na siku zinavyozidi kwenda nazidi Kuota hii ndoto na chaajabu ndoto hii uonesha kua nimerudi shule na wenzangu nimekuta wanaendelea na masomo Kama kawaida huku me nikionekana nilikua mtoro sihudhurii masomo yanayoendelea kwa Sasa katika kipindi icho ambacho Mimi nipo uraiani nimeshamaliza shule.

NB.
- Ndoto zote naota nipo tu sekondari wala sio shule ya msingi ama chuo

- Ndoto nyingi huwa naota nikiwa katika kipindi Cha kutaka kuadhibiwa wa mwalimu au kuhaibishwa mbele ya wanafunzi wenzangu

- Kwa mwezi naweza ota mara2 hadi tatu ndoto za aina hiyo ya kurudi shule.

kwa anaejua maana ya ndoto hii wakuu anisaidie tafsri yake Nini na kwanini ijirudie Mara kwa Mara ndoto Aina moja, inanitesa Sana kiukwel wakuu nakosa Raha naposhtuka usingzini baada ya Kuota ndoto hii na kichwa uwa kizito Sana. Nifanyeje ili niweze ondokana na ndoto hii?
niliota sana mpk niliporudii shule
 
Mimi pia kuna ndoto nimeota zaidi ya mara 20,nakutana na viongozi mbalimbali ndotoni tunaongea then tunaachana,mpk nashangaa wakati mazingira yangu siwezi ktk kukutana nao,naota sana tena viongozi tofauti tofauti,wakuu wa mhimili mkubwa zaidi 3 nimewahi waota pia na baadhi mawaziri.
Maana yake wewe hukutakiwa kuwa hivyo ulivyo, something went wrong somewhere.

Yaani wewe ni ilitakiwa uwe MTU ambaye wakubwa upo nao karibu, wanakutafuta na mnabadilishana mawazo. Umechezea nafasi hiyo vbaya, jitathmini tena, nafasi bado ipo
 
Kukwamishwa kwenye mambo yako na binadamu wenzako...
 
Kak hyo ndoto hiyo imeniteza San na nimekuja kugungua tafsir zake siyo ndoto nnzur hyo ..hyo ndoto inakupa alert kuwa utarudi nyuma sna ktk mambo yako wew so jipange San kuzikabiliana nazo usichukulie POA kirahis mm inafika naota ndoto imefana na yako Ni nwanafuz wa kdg Cha nne na au Cha sita wachuo cjawai kuwaota ila Hawa wa fom 4 n 6 nimewaota San Niko nao darasani

So jipange mnk hyo inakuonesha Kuna maswal yako yatarudi nyuma San hvyo Anza kuonmba na Toba pia huku ukihakiksha unasali sna

Mm ikipita mwezi sijaota wanafuzn wenzangu bas namshukuru mungu San na Mambo yangu yanakah mkao Ila nikiwaota tu lzm siku zinazofta Nile loss au shot hatari .kwa ujumla sipendi ndoto za namna hyo
Ni kweli kabisa.
 
Mwl Mwakasege amewahi zungumzia ndoto ya namna hii

Shule maana yake ni sehemu ambayo unaenda kwaajili ya kufanya maandalizi ya wakati ujao au kitu kinacjotarajiwa. Mwanafunzi anapoenda darasani maana yake anaenda kujiandaa na ujuzi au taaluma flan kwaajili ya matumizi mbele ya safari yake ya kimaisha.

Sasa unapooneshwa upo darasani maana yake kuna sehemu ulizembea/tegea katika maandalizi ya msimu ujao, hivyo unakumbushwa ujiandae.

Pia unapoona mazingira ni yale yale na wanafunzi ni wale wale maana yake umekwama katika maandilizi flan, ndio maana huoni ukienda hatua ya mbele katika ndoto hiyo ya darasani!

Kama wewe ni mkristo na unaamini katika mafundisho wa Mwl Mwakasege, Tafuta hilo somo la ndoto litakusaidia!!
Nimeelewa na mm
 
Mimi hio ndoto huwa naiota mara kwa mara Sana huwa Niko shule na Niko kwenye mitihani huwa inaniumizaga kichwa sana
 
Kuota upo shule maana yake ni kuna nguvu au roho zinazokuandamana kukuzuia usiinuke toka hapo ulipo, kwenda juu zaidi.
 
Kuota unafanya mapenzi means unaingiziwa uchawi mwilini mwako, kusex na kuamka asubui umechafuka wachawi wamechukua mbegu zako wanaenda zifanyia uchawi.

Kuota nyoka ni uchawi, nyoka wadogo ni ishara ya mkeo kupata ujauzito.
 
Mm pia nlikua naota sana hivo, nikafuatilia majibu yake ni kuwa ntapata shida ya fedha na kweli sasa hivi nimefulia sana na madeni juu, kwa hio na ww jiandae, usitumie ovyo pesa, kuwa makini na vitu unavyonunua na pia usikopeshe watu pesa zako watakutia unyonge
Watu mnaandika kama stori tu! Ila na mimi mwezi huu, yamenitokea. Mambo yamekua magumu, pesa sina, kazi zinasitishwa tu, yaani hadi sasa nina madeni. Nakumbuka last time nimeota niko shule, ila shule tofauti, pia nilikua nafurahia mazingira.
 
Mwl Mwakasege amewahi zungumzia ndoto ya namna hii

Shule maana yake ni sehemu ambayo unaenda kwaajili ya kufanya maandalizi ya wakati ujao au kitu kinacjotarajiwa. Mwanafunzi anapoenda darasani maana yake anaenda kujiandaa na ujuzi au taaluma flan kwaajili ya matumizi mbele ya safari yake ya kimaisha.

Sasa unapooneshwa upo darasani maana yake kuna sehemu ulizembea/tegea katika maandalizi ya msimu ujao, hivyo unakumbushwa ujiandae.

Pia unapoona mazingira ni yale yale na wanafunzi ni wale wale maana yake umekwama katika maandilizi flan, ndio maana huoni ukienda hatua ya mbele katika ndoto hiyo ya darasani!

Kama wewe ni mkristo na unaamini katika mafundisho wa Mwl Mwakasege, Tafuta hilo somo la ndoto litakusaidia!!
Dhahiri
 
Habari Wana Jamiforums natumani mko poa kabisa.

Kuna ndoto moja ina inanitesa Sana nimeona bora leo nilielezee hapa jukwaani angalau niweze kupata ufafanuzi kidogo kuhusiana na ndoto hii ninayo ota ikijirudia Mara kwa Mara kila Napo lala usiku.

Nimuda Sasa yapata Kama miaka Saba tangu nihitimu elimu ya sekondari lakini licha ya muda mrefu kidogo kupita tangu nimemaliza kidato Cha nne nimekua nikiota ndoto zikionesha kuwa nimerudi shule nasoma pia mazingira ya shule ni yale yale walimu wanafunzi wenzangu pia niliosoma nao ni wale wale.

Kiufupi naota ndoto hii imekua ikijirudia Sana na siku zinavyozidi kwenda nazidi Kuota hii ndoto na chaajabu ndoto hii uonesha kua nimerudi shule na wenzangu nimekuta wanaendelea na masomo Kama kawaida huku me nikionekana nilikua mtoro sihudhurii masomo yanayoendelea kwa Sasa katika kipindi icho ambacho Mimi nipo uraiani nimeshamaliza shule.

NB.
- Ndoto zote naota nipo tu sekondari wala sio shule ya msingi ama chuo

- Ndoto nyingi huwa naota nikiwa katika kipindi Cha kutaka kuadhibiwa wa mwalimu au kuhaibishwa mbele ya wanafunzi wenzangu

- Kwa mwezi naweza ota mara2 hadi tatu ndoto za aina hiyo ya kurudi shule.

kwa anaejua maana ya ndoto hii wakuu anisaidie tafsri yake Nini na kwanini ijirudie Mara kwa Mara ndoto Aina moja, inanitesa Sana kiukwel wakuu nakosa Raha naposhtuka usingzini baada ya Kuota ndoto hii na kichwa uwa kizito Sana. Nifanyeje ili niweze ondokana na ndoto hii?
Siku ingine rudi na simu uwapige picha tuwaone!
 
Mwl Mwakasege amewahi zungumzia ndoto ya namna hii

Shule maana yake ni sehemu ambayo unaenda kwaajili ya kufanya maandalizi ya wakati ujao au kitu kinacjotarajiwa. Mwanafunzi anapoenda darasani maana yake anaenda kujiandaa na ujuzi au taaluma flan kwaajili ya matumizi mbele ya safari yake ya kimaisha.

Sasa unapooneshwa upo darasani maana yake kuna sehemu ulizembea/tegea katika maandalizi ya msimu ujao, hivyo unakumbushwa ujiandae.

Pia unapoona mazingira ni yale yale na wanafunzi ni wale wale maana yake umekwama katika maandilizi flan, ndio maana huoni ukienda hatua ya mbele katika ndoto hiyo ya darasani!

Kama wewe ni mkristo na unaamini katika mafundisho wa Mwl Mwakasege, Tafuta hilo somo la ndoto litakusaidia!!
Naomba nikazie hoja hii kidogo.
Kwa mujibu wa Biblia kwenye kitabu cha Daniel, si mnajimu wala mganga awezaye kutafsiri ndoto. Hivi ndivyo Daniel alivyomuambia mfalme baada ya wanajimu na waganga wake kushindwa kumpa tafsiri ya ndoto yake. Tafsiri sahihi ya ndoto hutoka kwa Mungu kwa njia ya maombi. Hivyo tubu na omba kwa kumaanisha Mungu atakupa tafsiri ya mambo ya sirini(ndoto yako)
 
Back
Top Bottom