Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sizani kama hio ni sababu maana miaka yote vyipo na kama ingekuwa hio ndio sababu bas ingekuwa ni mguu mzima Ila ni kaseheme tuVinyweleo ni vingi sana Kaka, hebu kaonane na Dr umwelezee hilo tatizo lako. Fuata ushauri wa To yeye futa picha, kuna watu watakuharibia jioni yako na weekend yako.
Nenda hospital watakueleza ufanye nn....au ulikanyaga nyanya za watu? ....twende asubuhi sana nikusindikize labda unajionea uvivuSizani kama hio ni sababu maana miaka yote vyipo na kama ingekuwa hio ndio sababu bas ingekuwa ni mguu mzima Ila ni kaseheme tu
Riba au tibamsaada wa riba ya kuwashwa kwa miguu.
SawaNitakupigia unisindikize bas
Vitunguu swaumu ni dawa poa sanaRiba au tiba
Tiba
Pakaa mafuta ya nazi, zaituni au mchaichai kwenye miguu kabla ya kulala na baada ya kuamka, usiache miguu yako iwe mikavu mda mrefu
Meza punje 2 za kitunguu saumu ×2 kwa siku
Kunywa juice ya ndimu au limao muda wa wiki 1
Mengine Herbalist Dr MziziMkavu atakuja kuongezea
🤣Mtu wa kwenu huyuHivi kumbe ww ni me hua najua ni ke.
Me sio Ke huyo umekosea choo mkuu,Hivi kumbe ww ni me hua najua ni ke.
ulisema unavuta bangi.achamara moja utaisha..Hivi kumbe ww ni me hua najua ni ke.
Mwache aingie arudi kajaaMe sio Ke huyo umekosea choo mkuu,
Ye mwenyewe Me alafu anaemvizia ni Me, sasa kifuatacho sijui ni niniMwache aingie arudi kajaa
😳Picha ya mdoliHiv kwann wengi mnadhani hv wakat had picha yangu imo humu
Si huyo Panda mkuu ndio picha yako,Hiv kwann wengi mnadhani hv wakat had picha yangu imo humu