Msaada wa tatizo la nguvu za kiume

Angalia pia historia yako kama ulishawahi kugombana na mwanamke. Kuna wengine wanafunga watu kimazingara, so ufanye na maombi kama umefungwa kimazingara matumizi ya dawa yatagonga ukuta.
 
Mimi nimesomea sayansi ndoo nakijua kitendo hichi but its up2u guys if u want to believe me o not
 
Angalia pia historia yako kama ulishawahi kugombana na mwanamke. Kuna wengine wanafunga watu kimazingara, so ufanye na maombi kama umefungwa kimazingara matumizi ya dawa yatagonga ukuta.

Hapana nimesheki lakini hamna elements za "kimazingara" naamini ni tatizo la kiufundi tu
 
Mimi nimesomea sayansi ndoo nakijua kitendo hichi but its up2u guys if u want to believe me o not

Inawezekana lakini mbona kuna "mahanisi" lakini now wamepatiwa tiba na wako fiti sasa ivi
 
pOLE SANA KAKA ILA UNA SAIKOLOGIA PROBLEM ILA CHEMSHA NYANYA CHUNGU AU NGONGWE ULE KILA SIKU JIONI THEN NIPE MATOKEO NA UKIENDE GEGEDA AMINI WAWEZA KESHO NITAKUJUZA SASA HIVI KUNA KAZI NAFANYA
 
pOLE SANA KAKA ILA UNA SAIKOLOGIA PROBLEM ILA CHEMSHA NYANYA CHUNGU AU NGONGWE ULE KILA SIKU JIONI THEN NIPE MATOKEO NA UKIENDE GEGEDA AMINI WAWEZA KESHO NITAKUJUZA SASA HIVI KUNA KAZI NAFANYA

Kaka niamini niko fiti kisaikolojia sina hofu wala nn nikiwa na demu.
Nyanya chungu ndo dawa ya kuleta saikolojia ama?

Pia sijelewa ulipoanzia kuandika
"........ukiende gegeda amini....."
 
Fanya mazoezi ya mwili, kimbia road,jiamini hizo ni dawa tosha dogo.
 
Pole sana kutokana na jinsi ulivyojieleza wewe una shetani Mwanamke ndio anayekusumbuwa kukuharibia Uume wako. Kama huna mtatizo waliochangia wenzangu yaani huna matatizo ya Stress au Saikolojia na umeacha kupiga punyeto na hilo tatizo lako la uume kulala bado lipo basi utakuwa na Matatizo ya Jini Mahaba ona hapa chini Maelezo yake.

DALILI 31 ZA KUONYESHA WEWE UNA JINI MAHABA MWILINI MWAKO.

(1) KUUMWA NA KIZUNGUZUNGU.
(2) TUMBO KUUMA SANA HASA CHINI YA KITOVU.
(3) KUUMWA KICHWA UPANDE.
(4) MOYO KUSHTUKA NA KWENDA MBIO MARA KWA MARA.
(5) MWILI KUSHIKA MOTO.
(6) TUMBO KUUMA SANA KIPINDI CHA HEDHI.
(7) MAUMIVU WA TENDO LA NDOA.
(8) KUPENDA KULIA BILA SABABU NA MWILI KUTINGISHIKA.
(9) KUWA NA HASIRA NA MWLI KUWA MZOTO.
(10) VITU KUTEMBEA MWILINI
(11) MENO YOTE KUUUMA.
(12) KUTOTAMANI NDOA (KUPENDA KUACHA AU KUACHWA).
(13) KUWA JEURI KUPITA KIASI.
(14) MAUMIVU CHINI YA UTI WA MGONGO.
(15) MOYO KUUMA KAMA UNANYANYASWA.
(16) KUOTA UNAFANYA TENDO LA NDOA.
(17) KUOTA UNAYONYESHA, UNAZAA, UNAOLEWA.
(18) KUSIMAMIWA NA MTU UKIGEUKA HUMUONI.
(19) UKIOTA UNAFANYA TENDO LA NDOA, MIMBA INAHARIBIKA.
(20) KUOTA KUPAA ANGANI AU UPO BAHARINI.
(21) KUOTA UNAFANYA TENDO LA NDOA
(22) NDOTO ZA KUTISHA.
(23) KUTOJIPAMBA KWA AJILI YA MUME
(24) MAGOMVI YASIYOISHA NDANI YA NDOA.
(25) KUMCHUKIA MUME AU MKE.
(26) KUTOPENDA KUOA AU KUOLEWA.
(27) KUOTA UNAINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE.
(28) USINGIZI MWINGI.
(29) HEDHI ISIYO NA MPANGILIO.
(30) UJAUZITO USIOONEKANA.
(31) KUTOKUWA NA AMANI MOYONI
Ukiwa na Maswali zaidi wasiliana na mimi kwa njia ya Email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com pia waweza kutembelea Thread yangu hii hapa bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html
 

Asante kwa ushauri wako. Nitakutafuta basi
 

Nimeshakutumia email tayari
 
Pole sana mkuu wala usijali utapona humu jf kuna wataalam wa kila sector na wako makini maamini watakusaidia kua na subra tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…