Msaada wa tatizo la nguvu za kiume

Msaada wa tatizo la nguvu za kiume

Habari za mwaka mpya wadau
-Naombeni msaada wenu nina miaka 23 nimekua na tatizo la nguvu zetu kwa muda mrefu sana. Sijawai kusex mpaka sasa.

-Nikiwa na hamu nikifika kwa demu after foreplay hamu inakata kabisa.

-Si-erect 100% enough kwa penetration.
-Punyeto napiga sometimes then na-cumm tu kama kawaida ( naamini punyeto sio chanzo kwani tatizo lilianza hata kabla sijajua punyeto)

-pia naamini sio tatizo la kisaikolojia naamini ni tatizo la "kiufundi" zaidi.

-siamini kama nitafiti kwenye definition ya "hanisi" kwa kua 'nashutuka' japo sio tosha kwa kujamiiana.

Hivyo basi naombeni kwa hali na mali wadau wa jamii hii kubwa kunisaidia sana kwani naamini miongoni mwetu kuna walishapatwa na tatizo kama langu ama kwa jamaa zao .

Nahitaji msaada wenu kwani pamoja na mambo mengine naona umri wa kuoa na kua na familia ushafika ama bado kidogo (inategemea).
Napatikana kwa urahisi sana Dar ama mikoa ya Kaskazini (moshi, arusha, tanga sio mbaya pia) japo haina shida msaada ni popote pale.

Asante wadau na Mungu awabariki sana.

halo pole sana mdgo wangu kwa tatizo hilo dgo ,kubali au ukatae kwa maelezo yako una tatizo la kisaikolojiaa wala sio nini na hii ilitokea pale ulipaanza kujiona kuwa huna nguvu za kiume ukaanza kujiua mwenywe kifikra,ww bado naamni una nguvu zako zote,cha kufanya kuwa huru unapokuwa na mwanamke,pili chukua uume wako usugue kweny kinembe cha mwanamke during sex preparation hapo lazima ngoma ikae sawa
 
Kaka hakuna tib kamili kama lishe bora na mazoezi. Nathani vitu kama karanga nk unakula sema ukipata game unakuwa na wasiwasi au unapania.
Achana na dawa au watu wanaosema wanazo dawa unless ni miti shamba. Kama baadthi waliosema hapo juu ni kitunguu swaumu karanga maparachichi na vingine vingi huongeza libido.
Bado uko mdogo sana kuwa na matatizo kama hayo. Nathani ni saikolojia tu.
 
kwa uzoefu wangu, mwenye haya matatizo anaweza akawa na, 1.depression 2.kiwango cha chini cha homoni za kiume na 3.mzunguko wa damu sio mzuri. kwa hiyo ni vyema kujifahamu kwamba je una depression? je huwa unakosa hamu ya tendo la ndoa? na je kigegedo hakiko imara? ukiwa na uwezo wa kujibu hayo maswali vizuri, utakuwa na uwezo wa kufanya tiba sahihi. kwa ushauri/virutubisho unaweza kuni pm
 
da nikwambie pole tu ila ushauri ni pamoja na kufanya mazoezi ya viungo kama kukimbia ili damu iwe inazunguka vizuri mwilini , mengine madokta wa JF wamekupa kwa kiasi kinachofaa
 
da nikwambie pole tu ila ushauri ni pamoja na kufanya mazoezi ya viungo kama kukimbia ili damu iwe inazunguka vizuri mwilini , mengine madokta wa JF wamekupa kwa kiasi kinachofaa

nafikiri hili tatizo ni zaidi ya kufanya mazoezi.
na kuna tofauti ya upungufu na kutokua na nguvu kabisa.
sasa mtu ambaye hana nguvu kabisa ama haifanyi kazi, unafikiri mazoezi yanasaidia?
 
kwa uzoefu wangu, mwenye haya matatizo anaweza akawa na, 1.depression 2.kiwango cha chini cha homoni za kiume na 3.mzunguko wa damu sio mzuri. kwa hiyo ni vyema kujifahamu kwamba je una depression? je huwa unakosa hamu ya tendo la ndoa? na je kigegedo hakiko imara? ukiwa na uwezo wa kujibu hayo maswali vizuri, utakuwa na uwezo wa kufanya tiba sahihi. kwa ushauri/virutubisho unaweza kuni pm

hapana sina depression wala stress, wala sina tatizo la saikolojia wala sina hofu.
na wala sina ugonjwa wowote ule labda kisukari ama presha.
sina hakika kuhusu 2 na 3 kwan cjawai kwenda kupima hivyo vitu.
 
Kijana nenda hospitali ukachunguzwe.Kuna magonjwa mengi sana ambayo husababisha mtu kuwa na nguvu za kiume hafifu au kuwa hanisi kabisa.
Magonjwa haya ni :Kisukari,Magonjwa ya moyo,Magonjwa ya figo,Msongo wa mawazo,Malaria sugu,Kansa ya tezi la kiume na mengine mengi kwa kutaja tu haya machache.
Sasa ili kujua chanzo cha tatizo lako jua kwamba hospitali ndiye mkombozi wako pekee. Hakuna uchawi uwezao kuondoa nguvu za kiume za mtu. Achana na suala la kurogwa.
Kinachotibiwa ni ugonjwa na si dalili. Upungufu wa nguvu za kiume ni dalili na si ugonjwa.
 
Kijana nenda hospitali ukachunguzwe.Kuna magonjwa mengi sana ambayo husababisha mtu kuwa na nguvu za kiume hafifu au kuwa hanisi kabisa.
Magonjwa haya ni :Kisukari,Magonjwa ya moyo,Magonjwa ya figo,Msongo wa mawazo,Malaria sugu,Kansa ya tezi la kiume na mengine mengi kwa kutaja tu haya machache.
Sasa ili kujua chanzo cha tatizo lako jua kwamba hospitali ndiye mkombozi wako pekee. Hakuna uchawi uwezao kuondoa nguvu za kiume za mtu. Achana na suala la kurogwa.
Kinachotibiwa ni ugonjwa na si dalili. Upungufu wa nguvu za kiume ni dalili na si ugonjwa.

sawa, na labda ukifika kwenye hospital hizi kubwa kama kcmc na muhimbili unasemaje sasa ama unaenda kitengo gani? kwa tatizo kama langu.
asante.
 
Tumia viagra kwanza theni anza ushauri mwingine utafuata.. kwani tatizo lako ni la kisaikolojia kubali kataa..bila shaka moyo unaenda mbio ukishaona papuchi.. ukiogopa kushindwa kwamba demu atakuonaje.. nipm nikuambie viagra gani utumie bila kupata matatizo
 
Tumia viagra kwanza theni anza ushauri mwingine utafuata.. kwani tatizo lako ni la kisaikolojia kubali kataa..bila shaka moyo unaenda mbio ukishaona papuchi.. ukiogopa kushindwa kwamba demu atakuonaje.. nipm nikuambie viagra gani utumie bila kupata matatizo

hahah amna bana hauendi mbio....
ni zaidi ya saikolojia naamini hivyo
 
Tumia viagra kwanza theni anza ushauri mwingine utafuata.. kwani tatizo lako ni la kisaikolojia kubali kataa..bila shaka moyo unaenda mbio ukishaona papuchi.. ukiogopa kushindwa kwamba demu atakuonaje.. nipm nikuambie viagra gani utumie bila kupata matatizo

viagra huwa zinafanya kazi kwa kuimarisha mzunguko wa damu, kwa hiyo kama tatizo sio mzunguko, viagra haiwezi kukusaidia. na maajabu unayoweza kuyaona ni kigegedo kupoteza network mara kwa mara. kwa ushauri/virutubisho ni pm.
 
Asante mdau. Mimi si mtumiaji wa pombe wala sigara.
Vyakula nakula sana vyetu hivi vya kiafrika.
Nakua fiti kisaikolojia kabla ya mechi.. na mengineyo
Ndo mana nimehisi kua hili ni tatizo la "kiufundi zaidi"
Asante kwa ushauri.

Au ulichepuka ukapigwa BAN
 
Nenda eleza shida yako kwa dakitari na yeye atataka historia ya ugonjwa wako na kisha atakupeleka katika vipimo atakavyoona vitamsaidia kugundua ugonjwa wako unakotokea. Ingia ktk web yangu ya ;
Hii Wiki jijini Mwanza
Na utapata maelezo ya vyanzo vya tatizo la nguvu za kiume na lile la kukosa hamu kwa wanawake
 
Nenda eleza shida yako kwa dakitari na yeye atataka historia ya ugonjwa wako na kisha atakupeleka katika vipimo atakavyoona vitamsaidia kugundua ugonjwa wako unakotokea. Ingia ktk web yangu ya ;
Hii Wiki jijini Mwanza
Na utapata maelezo ya vyanzo vya tatizo la nguvu za kiume na lile la kukosa hamu kwa wanawake

asante mdau nitafanyia kazi ushauri wako.
 
nabishana na 23yrs jogoo aliwiki
Kijana jikite kwenye shughuli za kimaendeleo kwa mustakabali wako
 
Back
Top Bottom