Msaada wa usafiri mzuri toka Dar kwenda Njombe

Msaada wa usafiri mzuri toka Dar kwenda Njombe

jokotinda_Jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2022
Posts
882
Reaction score
1,536
Natarajia kwenda njombe wana ndugu
Basi gani zuri naweza tumia natanguliza shukurani naishi dar es salaam
 
Natarajia kwenda njombe wana ndugu
Basi gani zuri naweza tumia natanguliza shukurani naishi dar es salaam
Nakushauri utumie ABC kwakuwa
  1. Mwendo wa madereva wao ni wa kiustaarabu
  2. Hawana kelele za muziki kama mabasi mengine ni kama uko bar
  3. Mabasi ni masafi
  4. Lugha ya wahudumu ni ya upole na unyenyekevu
  5. Wasikivu ikiwa una dharura ya tumbo
Ukishindwa kabisa panda Galaxy japo haifanyi kazi siku ya Jumamosi.

Angalizo:
Usije ukarogwa ukapanda mabasi mengine siku ya kurudi, kuna vidumu vya ulanzi huwa vinawekwa kwenye carrier za ndani vikifika mikumi joto limechanganya vinafumuka
 
Ngoja waje kukupa muongozo.

Ila jipange sana kipindi hichi ni cha baridi kali huko njombe.

Jiandae kwa mashweta na makoti mazito.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣
Huwa na penda sana the way unavyo maliziaga kwa hiyo hashtag yako mkuu 🙌🙌

Hapo kwenye baridi ndo patamu kwani hich nikipindi cha baridi sana kule ......tena nahisi ntafika hadi makete
 
Nakushauri utumie ABC kwakuwa
  1. Mwendo wa madereva wao ni wa kiustaarabu
  2. Hawana kelele za muziki kama mabasi mengine ni kama uko bar
  3. Mabasi ni masafi
  4. Lugha ya wahudumu ni ya upole na unyenyekevu
  5. Wasikivu ikiwa una dharura ya tumbo
Ukishindwa kabisa panda Galaxy japo haifanyi kazi siku ya Jumamosi.

Angalizo:
Usije ukarogwa ukapanda mabasi mengine siku ya kurudi, kuna vidumu vya ulanzi huwa vinawekwa kwenye carrier za ndani vikifika mikumi joto limechanganya vinafumuka
Ndugu we unafanya kazi ABC .... sorry lakini nimeuliza tu .... zina Paki stendi ya JPM or
 
Mkuu nipo Njombe nimekuja from Dar.

Panda ABC ukikosa kabisa Super Feo.

Aisee uje na koti kubwa baridi noma. Hafu huku makoti bei knm bila 20 koti la kifala fala tu haupati.
 
ABC UPPER CLASS zinaenda mikoa ya nyanda za juu? mi najua ni DODOMA na SINGIDA tu
 
Mkuu nipo Njombe nimekuja from Dar.

Panda ABC ukikosa kabisa Super Feo.

Aisee uje na koti kubwa baridi noma. Hafu huku makoti bei knm bila 20 koti la kifala fala tu haupati.
Ofisi za ABC zipo wapi kwa hapa dar
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwa na penda sana the way unavyo maliziaga kwa hiyo hashtag yako mkuu [emoji119][emoji119]

Hapo kwenye baridi ndo patamu kwani hich nikipindi cha baridi sana kule ......tena nahisi ntafika hadi makete
Jipange sana kule hakufai kwa baridi hasa kipindi hiki.

La sivyo utakua hutoki ndani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njombe express, luwinzo, sweet Africa, kidinilo n.k
 
Nakushauri utumie ABC kwakuwa
  1. Mwendo wa madereva wao ni wa kiustaarabu
  2. Hawana kelele za muziki kama mabasi mengine ni kama uko bar
  3. Mabasi ni masafi
  4. Lugha ya wahudumu ni ya upole na unyenyekevu
  5. Wasikivu ikiwa una dharura ya tumbo
Ukishindwa kabisa panda Galaxy japo haifanyi kazi siku ya Jumamosi.

Angalizo:
Usije ukarogwa ukapanda mabasi mengine siku ya kurudi, kuna vidumu vya ulanzi huwa vinawekwa kwenye carrier za ndani vikifika mikumi joto limechanganya vinafumuka
Umenichekesha sana hapo kwenye ulanzi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom