1. Mtajie idadi ya wanawake duniani hususani kwa sensa ya 2017 compared to idadi ya wanaume.
2. Ajiasses kwanza mapungufu yake ambayo yanamfanya huyo mwananume awe hivyo kabla hajafanya maamuzi ya kijinga.
3. Ajaribu kujishusha na kuomba msamaha kwa jamaa endapo kuna kitu alikosea na hakukijua.
4. Ana haki ya kusitisha hiyo process endapo tu ni mcha MUNGU, kama ni wale wa tia maji tia maji hajijui hata uhusiano wake na MUNGU ukoje basi mwambie akomae tu na jamaa mpaka kieleweke. Mtu anayemjua MUNGU kwa undani hawezi kuwa hadi hapo hajui afanyeje na wala hawezi kufika kwenye hiyo situation.