Msaada Wa Ushauri: Supervisor wangu ni kilaza

Msaada Wa Ushauri: Supervisor wangu ni kilaza

Nilichojifunza makazini watu wengi ambao ni vilaza ila wana vyeo

Huwa wanapenda sana kutumia vyeo vyao kutaka watu watambue mamlaka zao kwa sababu hawana kingine

Mwisho wa siku ndo hivyo wanaleta pigo za kutaka kuheshimiwa au kuwakandamiza wengine
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
Anakutafuta kwenye 18 zake,kuna jambo mnagombea nyinyi ama cheo ama kinginecho🤪
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
kazi za direct sales ni ngumu sana ndugu yanga, na hivyo ndivyo ilivyo.

nikukomaa tu,
vinginevyo utapata tabu sana mtaani ukiacha kaz kwa hasira au kwazo ofisini bila kujipanga,

kaa ukijua anakuogopa pia
 
Niliwahi kufanya kazi na Kampuni moja ya Sola inaitwa Mobisol,kuna kidada Head wa HR alikuwa anapenda sana kuwapanda wafanyakazi vichwani,siku akajisahau kutaka kuniletea za kuleta nikamtukana kwenye simu,Kisha nikampigia simu Mkurugenzi Mkuu nikamwambia amwambie huyo HR wake nitamfira na kumtandika makofi. Siku ya tatu MD akaitisha Kikao cha Senior Officers saba kujadili suala hilo. Mbele ya Kikao nikamwambia MD huyu Mwanamke(Head wa HR) alichonizidi mimi ni umri tu lakini kwa Elimu, Akili na mambo mengine ni takataka kama takataka nyingine tu na akiendelea kuniletea za kuleta naweza kumchapa makofi hata mbele yenu hapa[emoji28]tangu siku hiyo heshima ilichukua nafasi yake
ONYO: Usifuatishe ubabe wangu kama hauna Vyeti na Ajira nyingine. Mimi nilileta ubabe kwa kuwa licha ya kuwa nilikuwa nimeajiriwa full time na hiyo Kampuni,lakini nilikuwa na Kazi yangu permanent Serikalini na kipindi hiko Serikalini nilikiwa Likizo ya masomo,hivyo sikuwa na cha kupoteza
Mkuu Wenda nakufhamu mm mpia jimefanya Kaz pale mobisoli Kuna mdada mmoja mmeru anaitwa neema alikuwa supervisor wangu yule mwanamke Ni nuksi hatari Ni mnafiki siyo kidgo hiyo Kaz ndio Kaz yake ya Kwanza kuifanya Basi hakujuwa kuwa tumepita kweny kampuni kubwa na tunajuwa kudeal na washenzi

Sitaki nisema sna ila....mwanmke akiwa supervisor Mara nyingi Kaz kwangu haziendi
 
Infact wewe ndiye mwenye matatizo, jichunguze tu taratibu kuna mahali unazingua sana.
...............................
Utanishukuru baadae ukiona inafaa
 
Mkuu Wenda nakufhamu mm mpia jimefanya Kaz pale mobisoli Kuna mdada mmoja mmeru anaitwa neema alikuwa supervisor wangu yule mwanamke Ni nuksi hatari Ni mnafiki siyo kidgo hiyo Kaz ndio Kaz yake ya Kwanza kuifanya Basi hakujuwa kuwa tumepita kweny kampuni kubwa na tunajuwa kudeal na washenzi

Sitaki nisema sna ila....mwanmke akiwa supervisor Mara nyingi Kaz kwangu haziendi
Hahaha,Neema Nassary
Mimi niliyetaka kumtwanga makofi mbele ya MD Mugambi ni Head wa HR Veronika Kahama
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
Una kiburi
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
Sidhani kama ni kilaza kwa mazingira uliyomu address huyo bosi wako ila ana tatizo la usahaulifu ambapo anahitaji apate brain activator ili kumrudisha hali ya kawaida
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
Huu ni unyanyasaji na inaweza ikadaiwa kua ni unyanyasaji wa kijinsia
 
Nje ya mada: kwa wale walioko katika lane ya kutafuta ajira, hakiki mara tatu tatu referee unaemuandika. Budda kama unasoma hapa nisamehe;

Kuna jamaa mmoja ameomba kazi shirika la watu wa nchi flani. Sasa interview process ikaenda kama miezi 3. Baadae akaja kupewa feedback amekosa wameamua kuproceed na a better option. Sasa akapata courage ya kuuliza kwanini ili ajirekebishe labda. Akajibiwa, shida imekuja kwenye recommendation letters. Mbili kati ya tatu zimempondea. Lakin kwa madai yake ni watu ambao alikua na ujamaa nao mzuri tu. Na aliwapa taarifa kuwa watatafutwa wakamwambia hata usijali, ondoa shaka!! Lakin ndo akatumiwa barua na yule HR, waliyokuwa wameyaandika ni disaster. Akasema acha aprove tena, akampanga mtu kwamba ajifanye recruiter, apige simu kwa mmoja wa hao referee. Akapondwa vibaya mno. Sisemi hakuwa at fault, nasema mjue referee wako vizuri....ni hilo tu!!!
 
Back
Top Bottom