Msaada Wa Ushauri: Supervisor wangu ni kilaza

Msaada Wa Ushauri: Supervisor wangu ni kilaza

Ukiajiriwa fata masharti unataka kumletea kiburi wakati huna hela? Au unataka akuchabange makofi na ukienda kushtaki polisi lockup uwekwe mwenyewe?
Ukiwa na njaa wewe hata ukionewa unatakiwa ukae kimya ukiongea tu unaonekana mkorofi ni wewe, umekubali kuwa mtumwa ishi kama watumwa wanavyotakiwa kuishi na usuvute mdomo
 
Niliwahi kufanya kazi na Kampuni moja ya Sola inaitwa Mobisol,kuna kidada Head wa HR alikuwa anapenda sana kuwapanda wafanyakazi vichwani,siku akajisahau kutaka kuniletea za kuleta nikamtukana kwenye simu,Kisha nikampigia simu Mkurugenzi Mkuu nikamwambia amwambie huyo HR wake nitamfira na kumtandika makofi. Siku ya tatu MD akaitisha Kikao cha Senior Officers saba kujadili suala hilo. Mbele ya Kikao nikamwambia MD huyu Mwanamke(Head wa HR) alichonizidi mimi ni umri tu lakini kwa Elimu, Akili na mambo mengine ni takataka kama takataka nyingine tu na akiendelea kuniletea za kuleta naweza kumchapa makofi hata mbele yenu hapa[emoji28]tangu siku hiyo heshima ilichukua nafasi yake
ONYO: Usifuatishe ubabe wangu kama hauna Vyeti na Ajira nyingine. Mimi nilileta ubabe kwa kuwa licha ya kuwa nilikuwa nimeajiriwa full time na hiyo Kampuni,lakini nilikuwa na Kazi yangu permanent Serikalini na kipindi hiko Serikalini nilikiwa Likizo ya masomo,hivyo sikuwa na cha kupoteza


Huwezi jibu watu hivyo ukaachwa, usitudanganye Kaka zako, Hakuna office ya hivyo.
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
Nenda naye taratibu. Jenga ushahidi usio na mashaka kwanza. Uwe unamtumie emails kuthibitisha kuwa uko mahali fulani kwa ruhusa yake. Kwa mfano, tuma email nimefika salama kituo cha kazi ulichonituma. Vyovyote atajibu. Ziweke salama emails hizo. Fanya hivyo mara kwa mara.
 
Mwanamke yeyote akiwa boss wako usijaribu kumuunderfear hata kidogo ukiweza mjibu kibabe na ukiona vipi siku mtongoze lengo akose confidence kwako .

Nilikuwa na mmama incharge alikuwa ana tuendesha sana kwenye kile kidepartment hasa kwa maneno ya ukali na amri zisizo na staha .

Basi siku moja nikaa bar nikawa na kikao na halmashauri ya kichwa changu juu yake , basi jibu likaja kuwa nikiendelea kumchekea kwa ukali mshenzi wake atanitesa sana , nikaamua kumuonesha kuwa simuogopi alafu sipendi kupelekeshwa kijinga .

Siku moja naingia job namalizia kusaini , naye ndiyo anafika eti ananiuliza kwahiyo siku hizi tunafika muda sawa ?

Nakumbuka nilimwambia wewe ulitakaje mrembo ? Kwanza akastuka mimi kumuita mrembo ilihali kwangu ni mmama , akasema unasemaje wewe mtoto nikasema una shida gani asubuhi hii yote mrembo ?

Nikaona walinzi na wafanyakazi wengine waliosikia majibizano yetu wakahamaki na yeye akakosa confidence akavunga akaenda ofisini kwake .

By saa nne kaniita ofisini kwake akiwa na Mfawidhi alafu akaanza kunichana kuwa pombe itaniharibia kazi , nikaona nimtolee uchovu nikamchana kipo napenda na kipi sipendi na pia nikahitaji awe na heshima kwa kauli zake ila kumalizia nikasema mimi nampenda sana na sitaacha kumtongoza .

Muda huo mfawidhi kakaa tu kimya anatusikiliza nacho kumbuka sikumaliza hata mwezi nikala uhamisho niko zangu huku na wanakijiji tunaenjoy pombe ya kienyeji ila yule bi mdashi hata tukutane wapi ananiheshimu sana .

Na hapendi hata tukae meza moja hata dakika kumi maana anahisi nitaanzisha ujinga.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
😅 😅 😅 😅 Vijana wasije wakakuiga hii! Kuna taasisi ukileta haya mambo utajuta kuifahamu!
 
Mwanamke yeyote akiwa boss wako usijaribu kumuunderfear hata kidogo ukiweza mjibu kibabe na ukiona vipi siku mtongoze lengo akose confidence kwako .

Nilikuwa na mmama incharge alikuwa ana tuendesha sana kwenye kile kidepartment hasa kwa maneno ya ukali na amri zisizo na staha .

Basi siku moja nikaa bar nikawa na kikao na halmashauri ya kichwa changu juu yake , basi jibu likaja kuwa nikiendelea kumchekea kwa ukali mshenzi wake atanitesa sana , nikaamua kumuonesha kuwa simuogopi alafu sipendi kupelekeshwa kijinga .

Siku moja naingia job namalizia kusaini , naye ndiyo anafika eti ananiuliza kwahiyo siku hizi tunafika muda sawa ?

Nakumbuka nilimwambia wewe ulitakaje mrembo ? Kwanza akastuka mimi kumuita mrembo ilihali kwangu ni mmama , akasema unasemaje wewe mtoto nikasema una shida gani asubuhi hii yote mrembo ?

Nikaona walinzi na wafanyakazi wengine waliosikia majibizano yetu wakahamaki na yeye akakosa confidence akavunga akaenda ofisini kwake .

By saa nne kaniita ofisini kwake akiwa na Mfawidhi alafu akaanza kunichana kuwa pombe itaniharibia kazi , nikaona nimtolee uchovu nikamchana kipo napenda na kipi sipendi na pia nikahitaji awe na heshima kwa kauli zake ila kumalizia nikasema mimi nampenda sana na sitaacha kumtongoza .

Muda huo mfawidhi kakaa tu kimya anatusikiliza nacho kumbuka sikumaliza hata mwezi nikala uhamisho niko zangu huku na wanakijiji tunaenjoy pombe ya kienyeji ila yule bi mdashi hata tukutane wapi ananiheshimu sana .

Na hapendi hata tukae meza moja hata dakika kumi maana anahisi nitaanzisha ujinga.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kama hii ni kweli punguza Bangi mkuu
Utakuja kuaibisha Taifa
😀
 
Back
Top Bottom