MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Naipenda Tanzania siwezi kuiabisha nitaitumukia mpaka kufaKama hii ni kweli punguza Bangi mkuu
Utakuja kuaibisha Taifa
😀
Anakutafuta kwenye 18 zake,kuna jambo mnagombea nyinyi ama cheo ama kinginecho🤪Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.
Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.
Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
kazi za direct sales ni ngumu sana ndugu yanga, na hivyo ndivyo ilivyo.Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.
Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.
Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
Nimjingaa snaaNdipo uwezo wako wa kufikiria ulipofikia
Kiongozi wao kwa SAS anajulikna Hakuna haja ya kuwataja[emoji120] wapo wengi sana . Women are incompetent usiombe boss mwanamke .
Wengi hao hawajiamini kbsa[emoji120] wapo wengi sana . Women are incompetent usiombe boss mwanamke .
Mkuu Wenda nakufhamu mm mpia jimefanya Kaz pale mobisoli Kuna mdada mmoja mmeru anaitwa neema alikuwa supervisor wangu yule mwanamke Ni nuksi hatari Ni mnafiki siyo kidgo hiyo Kaz ndio Kaz yake ya Kwanza kuifanya Basi hakujuwa kuwa tumepita kweny kampuni kubwa na tunajuwa kudeal na washenziNiliwahi kufanya kazi na Kampuni moja ya Sola inaitwa Mobisol,kuna kidada Head wa HR alikuwa anapenda sana kuwapanda wafanyakazi vichwani,siku akajisahau kutaka kuniletea za kuleta nikamtukana kwenye simu,Kisha nikampigia simu Mkurugenzi Mkuu nikamwambia amwambie huyo HR wake nitamfira na kumtandika makofi. Siku ya tatu MD akaitisha Kikao cha Senior Officers saba kujadili suala hilo. Mbele ya Kikao nikamwambia MD huyu Mwanamke(Head wa HR) alichonizidi mimi ni umri tu lakini kwa Elimu, Akili na mambo mengine ni takataka kama takataka nyingine tu na akiendelea kuniletea za kuleta naweza kumchapa makofi hata mbele yenu hapa[emoji28]tangu siku hiyo heshima ilichukua nafasi yake
ONYO: Usifuatishe ubabe wangu kama hauna Vyeti na Ajira nyingine. Mimi nilileta ubabe kwa kuwa licha ya kuwa nilikuwa nimeajiriwa full time na hiyo Kampuni,lakini nilikuwa na Kazi yangu permanent Serikalini na kipindi hiko Serikalini nilikiwa Likizo ya masomo,hivyo sikuwa na cha kupoteza
Hahaha,Neema NassaryMkuu Wenda nakufhamu mm mpia jimefanya Kaz pale mobisoli Kuna mdada mmoja mmeru anaitwa neema alikuwa supervisor wangu yule mwanamke Ni nuksi hatari Ni mnafiki siyo kidgo hiyo Kaz ndio Kaz yake ya Kwanza kuifanya Basi hakujuwa kuwa tumepita kweny kampuni kubwa na tunajuwa kudeal na washenzi
Sitaki nisema sna ila....mwanmke akiwa supervisor Mara nyingi Kaz kwangu haziendi
Una kiburiHuyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.
Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.
Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
Sidhani kama ni kilaza kwa mazingira uliyomu address huyo bosi wako ila ana tatizo la usahaulifu ambapo anahitaji apate brain activator ili kumrudisha hali ya kawaidaHuyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.
Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.
Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
Huu ni unyanyasaji na inaweza ikadaiwa kua ni unyanyasaji wa kijinsiaHuyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.
Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.
Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.