Msaada wadau! Mjukuu anagoma kwenda kozi ya unesi na ukunga Dodoma. Anataka kuendelea na kidato cha tano. Nifanyeje?

Msaada wadau! Mjukuu anagoma kwenda kozi ya unesi na ukunga Dodoma. Anataka kuendelea na kidato cha tano. Nifanyeje?

Duh!kumbe hapa jamii forum huwa tunabishana na vibabu bila kujua!?[emoji851]yaani kuna watu hadi wana wajukuu humu Jf?
 
Amechaguliwa kwenda chuo. Anasema hapana. Anatpenda aendelee na kidato cha tano kwa mchepuko wake uleule wa masomo ya sayansi. Wapi nigeukie ili nisaidiwe?
Mwambie hiyo short cut ni bora zaid kuliko kwenda Advance...
 
Naomba mi unisaidie, kachaguliwa HGK na anataka CBG maana yote alifaulu
Kama ana principal pass ya fizikia aende vyuo vya kati vya afya akasome CEO, pharmacy, Laboratory au Radiology...

NB: Advance apige chini huko hamna kitu zama hizi zaidi ya kupoteza muda na kupata sifa za kijinga tu ....
 
jnategemea huko advanc anaend kusomea nin,pcb ili iweje?
anageenda zake koz ya nursing dip tu kwaza anapata kaz na ka ana kichwa kizur anakuj badae kufanya Md bila shida na experianxe l!! shauri yake
Yaani mnavyo rahisisha😂😂😂😂😂yaani mtoto akasomee ukunga yeye hautaki.
 
Watu bado wanaishi Kwa maisha ya mazoea Mimi nimesoma advance na nikaacha baada ya kuona naenda kufeli Tu na kupoteza muda.

Nikaenda kusoma course ya Nurse diploma na Nina GPA nzuri Tu,now nimeajiliwa na Taasisi nzuri Tu na Mshahara around 800K take home.

Degree nitasoma muda wowote japo miaka inaenda Ila sijapata sababu ya kurudi shule

Kuna Muda wazazi inabidi muamue ndoto za Watoto wenu hata kama kuna Mambo wanayapenda Sana.

Advance ya sasa Haiko kama ya zamani Demu wangu alipata PCB 1 8 akakosa MD mwaka 2017 akahairisha aende mwaka unaofuata akataka kukosa ndo nikamshauri akasome nursing now Yuko mwaka wa 3 bachelor.

So maisha yamebadilika Sana wakuu
Advance itampa uwanja mpana wa kuchagua kozi kuliko hizo za kozi za Afya.
 
Haina Haja ya kumaliza kusoma Mimi Hata sijapoteza mkuu Nina GPA 4.5 na kazi ninayo tena ya mshahara wa watu wanaojiita wa bachelor.

Na niliamua nitarudi shule muda wowote
Yaan hujaona makosa yako??
 
jnategemea huko advanc anaend kusomea nin,pcb ili iweje?
anageenda zake koz ya nursing dip tu kwaza anapata kaz na ka ana kichwa kizur anakuj badae kufanya Md bila shida na experianxe l!! shauri yake
Madam umekosea..Nursing na kusoma MD wapi na wapi? .

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom