Msaada wakuu kuhusu utaratibu wa kupata cheti cha ndoa Rita

Msaada wakuu kuhusu utaratibu wa kupata cheti cha ndoa Rita

Wakuperuzi

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2023
Posts
2,348
Reaction score
5,841
Naomba kufahamishwa kuhusu upatikanaji wa cheti cha ndoa cha Rita je! Kinaweza kupatikana hta kwa hawa viongozi wetu wa dini au ni Rita tu peke yake?
 
Viongozi wa dini wanatoa vyetu hivyo RITA maana ni mawakala waliothibitishwa na serikali kwa kupewa kibali cha kufungisha ndoa mbali na hapo huenda kuna vyeti vya ndoa feki huku mtaani ipo siku mtu atapigwa na kitu kizito mahakamani kwa kubeba gamba feki.
Ili kiwe halali, kiongozi wa dini husali ndoa hizo RITA.
 
Viongozi wa dini wanatoa vyetu hivyo RITA maana ni mawakala waliothibitishwa na serikali kwa kupewa kibali cha kufungisha ndoa mbali na hapo huenda kuna vyeti vya ndoa feki huku mtaani ipo siku mtu atapigwa na kitu kizito mahakamani kwa kubeba gamba feki.
Shukurani
 
Naomba kufahamishwa kuhusu upatikanaji wa cheti cha ndoa cha Rita je! Kinaweza kupatikana hta kwa hawa viongozi wetu wa dini au ni Rita tu peke yake?
cheti cha ndoa rita? mi najua ukifunga ndoa kwenye dini yako au kwa mkuu wa wilaya ndo unapewa cheti
sasa cheti kitatolewa vipi bila ndoa
 
Naomba kufahamishwa kuhusu upatikanaji wa cheti cha ndoa cha Rita je! Kinaweza kupatikana hta kwa hawa viongozi wetu wa dini au ni Rita tu peke yake?
Mhhh!! Kumbe mambo mengi siyajui!! Kuna cheti Cha ndoa RITA? Mm nilijua cheti Cha ndoa kinapatikana ulipofungia ndoa!! Ngoja tujifunze.
 
Kumbe wewe huwa ni Mwanamke na husemi mkuu...?
Vyeti vipo Kanisani, msikitini, Wilayani na hata RITA kikubwa ndoa yako ithibitike.
 
Naomba kufahamishwa kuhusu upatikanaji wa cheti cha ndoa cha Rita je! Kinaweza kupatikana hta kwa hawa viongozi wetu wa dini au ni Rita tu peke yake?
Utaratibu ni mgumu sana wakati mwingine; kwenda kwenye lile jengo reeefu pale Posta, kupanda ghorofani, kuunga foleni ndeefu pale, ukifika counter unaambiwa nenda uje wiki ijayo, ukirudi unaambiwa bado, subiri, subiri.
 
Naomba kufahamishwa kuhusu upatikanaji wa cheti cha ndoa cha Rita je! Kinaweza kupatikana hta kwa hawa viongozi wetu wa dini au ni Rita tu peke yake?
Cheti cha ndoa kinapatikana kwa viongozi wa dini au serekalini baada ya kufunga ndoa, ukimaliza chukua cheti chako nenda Rita waisajili ndoa yako!!
 
Mhhh!! Kumbe mambo mengi siyajui!! Kuna cheti Cha ndoa RITA? Mm nilijua cheti Cha ndoa kinapatikana ulipofungia ndoa!! Ngoja tujifunze.
Cheti cha ndoa hutolewa mara tu unapofunga ndoa kama ushahidi. Hutolewa na mamlaka inayofungisha iwe Serikali au Dini.
Rita wanatoa cheti cha usajili wa ndoa iliyofungwa na kiserikali au kidini. Hii yote ni namna ya Serikali kujiongezea maduhuri lakini cheti baada ya kufunga ndoa kinatosha.
 
SOMO:
RITA wanasajili ndoa ila wanaotoa vyeti ni 'mawakala' wao wa usajili ambao ni makanisa, misikiti na ofisi za Wakuu wa Wilaya zote nchini. Kwa hiyo ukitaka cheti cha ndoa (unachoita cha RITA) ni ama ufunge ndoa ya kidini au ya kiserikali. Ndoa ikishafungwa sehemu hizo wahusika kila mwezi hupeleka taarifa (mrejesho) huko RITA ili kuthibitisha/kusajili ndoa hizo. Watu wa ndoa hawawajibiki kwenda RITA.
 
Mhhh!! Kumbe mambo mengi siyajui!! Kuna cheti Cha ndoa RITA? Mm nilijua cheti Cha ndoa kinapatikana ulipofungia ndoa!! Ngoja tujifunze.
Sehemu ulip
SOMO:
RITA wanasajili ndoa ila wanaotoa vyeti ni 'mawakala' wao wa usajili ambao ni makanisa, misikiti na ofisi za Wakuu wa Wilaya zote nchini. Kwa hiyo ukitaka cheti cha ndoa (unachoita cha RITA) ni ama ufunge ndoa ya kidini au ya kiserikali. Ndoa ikishafungwa sehemu hizo wahusika kila mwezi hupeleka taarifa (mrejesho) huko RITA ili kuthibitisha/kusajili ndoa hizo. Watu wa ndoa hawawajibiki kwenda RITA.
Yah nimefanya hivi
 
Back
Top Bottom