fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
n geto jipya mkuuFanya ustafi...
Hilo pagazi ndo geto jipya?n geto jipya mkuu
mijusi wajomba 😩😩Mama jusi + wachungaji=Wajusi
wakubwa sana hawa kama ufagioWaue tuu
njoo uwachukue mkuu nkupe locHao ni mboga tamu sana unawapika na nazi.
Ukiwakaanga na kitunguu unaharibu, hao ni nazi na karoti tu.
Watamu sana
Fanya Usafi!wakuu kwema ..? jana nmerudi zangu magetoni usiku mwingi nikakuta hawa wajusi wajomba wako 2 sijui wametoka wapi msaada sijalal magetoni leo nmerudi nmewakuta chini wanacheza hawana hata habari halafu hawaogopi mtu nmeita majirani wanasema hawa n wajusj wajomba hawana shida inabdi niwazoee hapa geto jipya ndo nimehamia mm n mgeni dah View attachment 3188492
🤣🤣🤣🤣🤣 Mbavu zanguumijusi wajomba 😩😩
dah mkuu una madharau wewee hilo geto jipya we unaita pagaleHilo pagazi ndo geto jipya?
ndo wanaitwa hivo au anko mamajusi😩🤣🤣🤣🤣🤣 Mbavu zanguu